Mpenzi wangu kafuma kondom chumbani kwangu

Mpenzi wangu kafuma kondom chumbani kwangu

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Alipokua anafanya usafi akaziona.

Akawa mkali sana na akasema anaenda kwao. Nikamwambia mke wangu ni rafiki yangu katumia nyumbani. Maana yeye anakujaga kwangu weekend. Amenielewa ila ni baada ya siku nzima na kamwambia mama yangu mzazi.

Jamani wanaume wenzangu tuwe makini na mipira mana ukikutwa.

Nashukuru amenielewa.
 
Huyo mkeo fara kwelii badala afuraiyee anamaind sasa anataka uende kavukavu kama kwakee... Aisee mi tofauti na outng ningekutoa kukupongeza angalau kwa kujali kidogooo...
 
Akushuru unatumia condom ila acha uhuni bana
 
Hahaha yaan wanaume ni rahaa sana hapo mkeo amekusamehe kiroho swafii. Mfano je codomu ungeikuta kwa mkeo!!? Baki njia kuu acha unzinzi shetani anakunyemelea zaidi mrudie Mungu
 
Huyo mkeo fara kwelii badala afuraiyee anamaind sasa anataka uende kavukavu kama kwakee... Aisee mi tofauti na outng ningekutoa kukupongeza angalau kwa kujali kidogooo...

Ha Haa Anasema Me Malaya Mana Kondom Za Nini
 
BUMIJA

Wanaume Wengine Bhana! Wewe Umefumwa Tu Na Condom Unatokwa Na Mapovu Hivi Je Na Sisi Wenzako Tunaofumaniwa Kila Kukicha Na Wake Zetu Tusemeje?
 
Last edited by a moderator:
Kwa akili ya haraka ungemwambia ulikuwa unapigia gori la Nape.
 
Seriously huyo mkeo ni mburula kama wewe!

Tangu lini ukamwalika rafiki yako kupigia mechi kwako...tabia za miaka ya 1947 hizo unazileta 2015.


 
Mkeo kakuelewa nini....kwamba rafiki yako katumia daaah akakuletea wewe umwihifadhie?.....mkeo anakupenda sana hadi chongo anaona kengeza achana na michepuko mpende mkeo
 
BUMIJA

Wanaume Wengine Bhana! Wewe Umefumwa Tu Na Condom Unatokwa Na Mapovu Hivi Je Na Sisi Wenzako Tunaofumaniwa Kila Kukicha Na Wake Zetu Tusemeje?

Povu Limemtoka Wife
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom