Mkuu huyo,kesha kula kichwa kwenye ndege.Kwani wewe hujawahi kula kichwa safarini.:A S angry:
Naombeni ushauri wenu wana jf!,Nina gf wangu Anatokea Dar anakuja Mwanza na ndege ya mchana huu, cha ajabu nimemwambia kuwa nakuja kukupokea AIPORT amenikatalia anadai nisiende tutaonana nyumbani! Kanipigia tena ananiuliza et kama nimechukia!,
Nenda ukajionee sababu ilomfanya akatae, na usimwambie kama unaenda.........
Mkuu huyo,kesha kula kichwa kwenye ndege.Kwani wewe hujawahi kula kichwa safarini.:A S angry:
Nenda ukajionee sababu ilomfanya akatae, na usimwambie kama unaenda.........
Yawezekana yuko mjini tangu juzi!!!
Naombeni ushauri wenu wana jf!,Nina gf wangu Anatokea Dar anakuja Mwanza na ndege ya mchana huu, cha ajabu nimemwambia kuwa nakuja kukupokea AIPORT amenikatalia anadai nisiende tutaonana nyumbani! Kanipigia tena ananiuliza et kama nimechukia!,