juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,484
Mapenzi/maisha sio mitombo tuuu.
Nshavumiliaa Sana cz nimekaa nae zaidi ya six years
Anakula tu hela zako,akiwa na shida anakukumbuka
Kwani Ni hela basiiii , ebu muulize kiasi gani?
Heshima yako mkuu.Ameweza kuthibitisha hisia zake kwako maana baada ya kukukatalia ulikata kamba. Alijua zile zawadi zawadi zilikua ni chambo tu.
Wewe Endelea tu na hamsini zako, mahusiano ni zaidi ya ngono.