mchichaa
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 304
- 129
Nina mpenzi wangu nilikua nampenda sana na kumpatia vitu vidogo vidogo pale apatapo shida. So nimekua nae kwenye Mahusiano ndani ya miezi 6 sasa, ila tatizo lake mi na yeye tunashindwana, hataki ni sexy na yeye kwa madai kwamba sie wanaume ni waongo, kwamba akinipatia nachokihitaji mimi nitakuja kumuacha yeye kwa kumsalitii...
Ilinibidi nimbembelezee sana ili anielewee ila ilishindikana mpaka ikanibidi nimpotezee bila kuwa na connection nae yeyote ndani ya 4 months.
Kwa sasa yeye uvumulivu kwake umemshindaa anani text kwa kunisalimiaa n.k. So naombeni ushauri wadau, niachane nae au niendelee nae???
Ilinibidi nimbembelezee sana ili anielewee ila ilishindikana mpaka ikanibidi nimpotezee bila kuwa na connection nae yeyote ndani ya 4 months.
Kwa sasa yeye uvumulivu kwake umemshindaa anani text kwa kunisalimiaa n.k. So naombeni ushauri wadau, niachane nae au niendelee nae???