Mpenzi wangu hafiki kileleni

Mpenzi wangu hafiki kileleni

masengobangu

Senior Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
125
Reaction score
131
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.

Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.

Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.

Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.

Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
 
Una hatari ya kutafuniwa mzigo na aliyemfikisha..

Lakini kwenye kikao cha wanaume tulishasema kwenye sheria no 17 kipengele b
"You don't owe any woman organism kila mtu apambane kutafuta kilele chake"
Kama wewe unapataa vilele vi 3 yeye kwanini akose? Inabidi ajitafakari akishindwa aridhike hivyo hivyo akishindwa kabisa aondoke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una hatari ya kutafuniwa mzigo na aliyemfikisha..

Lakini kwenye kikao cha wanaume tulishasema kwenye sheria no 17 kipengele b
"You don't owe any woman organism kila mtu apambane kutafuta kilele chake"
Kama wewe unapataa vilele vi 3 yeye kwanini akose? Inabidi ajitafakari akishindwa aridhike hivyo hivyo akishindwa kabisa aondoke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom