masengobangu
Senior Member
- Feb 25, 2014
- 125
- 131
Nawasalimu ndugu wana jamii forum.
Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.
Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.
Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.
Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
Niende moja kwa moja kwenye mada nina mpenzi wangu hafiki kileleni ,mara ya kwanza nilidhani labda namkosea lakini kila nilichojaribu bado niligonga mwamba.
Nilijaribu kufanya maandalizi kwa muda wa dakika 20 hadi 40 lakini haloani na wala tukiwa kwenye mtanange hafiki .Tuna mwaka mmoja na nusu sasa mimi naenda hadi vinne kwa siku lakini yeye hamna kitu.
Nikaanza kupaniki siku moja nikamuuliza kama kwenye mahusiano yake yaliyopita aliwahi kufika kileleni akasema aliwahi mara moja tu.
Hajafanyiwa tohara wala nn. Nisaidieni nifanyaje kwani kwenye mahusiano yangu yaliyopita walikua wanafika kileleni zaidi ya mara moja kwa round lakini kwa huyu nimeshindwa hata cha kufanya.
