Hamud Nassor
Member
- Jul 9, 2013
- 18
- 0
Please wanajamii wenzangu,
Mpenzi wangu ana vituko vingi sana, nimejaribu kumvumilia lakini nimefikia hatua nimechoka. Naomba mnishauri ili nimsahau kabisa akilini mwangu, maana nampenda sana. Kiufupi ameitawala akili yangu, nataka tuachane lakini bado nampenda.
Naomba ushauri wenu; nifanye nini ili nimsahau na kumuona kama wa kawaida sana tu?
Ananifanyia vituko; sometimes nikiongea nae kwa phone anaweza hold simu yangu then anapokea simu za boys, wanaongea mpaka badae ndio ananiconnect again.
Muda mwingine amekuwa akikataa kuongea na mimi. Kama zamani we spent muda mwingi pamoja but nowadays kachange na nimewahi mfuma yuko busy mara tatu saa tisa usiku akiongea na simu, so nlikuwa nataka nimeuache lakini nashindwa.
Ushauri jamani wanajamii.
Mpenzi wangu ana vituko vingi sana, nimejaribu kumvumilia lakini nimefikia hatua nimechoka. Naomba mnishauri ili nimsahau kabisa akilini mwangu, maana nampenda sana. Kiufupi ameitawala akili yangu, nataka tuachane lakini bado nampenda.
Naomba ushauri wenu; nifanye nini ili nimsahau na kumuona kama wa kawaida sana tu?
Ananifanyia vituko; sometimes nikiongea nae kwa phone anaweza hold simu yangu then anapokea simu za boys, wanaongea mpaka badae ndio ananiconnect again.
Muda mwingine amekuwa akikataa kuongea na mimi. Kama zamani we spent muda mwingi pamoja but nowadays kachange na nimewahi mfuma yuko busy mara tatu saa tisa usiku akiongea na simu, so nlikuwa nataka nimeuache lakini nashindwa.
Ushauri jamani wanajamii.