Nimemtembelea mpenzi wangu leo (naishi mbali nae)bnimekuta mdada anamfulia nguo pamoja na boxer zake huku yeye hayupo ikabidi nimuulize huyu dada yeye ni nani? Akanijibu yeye ndo huwa anamfulia na kumfanyia usafi kisha anamlipa.
Hajawahi kunigusia hili swala. Je ni sawa jamani nisaidieni kabla sijakinukisha.
Ni vema kuwa mwangalifu kama hujapendezwa na jambo hilo. Unaweza kupata msimamo wake juu ya hilo ukaanzia kushauri ili uone kama ana nia ya kuacha hilo
Hasira ni kwamba ameionesha hiyo boxer kwa mwanamke au?? Sijaona sababu ya kukinukisha hapo labda uwe wazi zaidi. Je, huyu mdada angelikuambia kuwa akija kutoka kazini huwa anamdugua (meseji) mgongoni hadi alale ndipo yeye huondoka bila kufanya kitu kwa kuwa ni fundi wa kazi hiyo tu. Ungelimfanyaje?? Kinukishe leo leo uende
Nimemtembelea mpenzi wangu leo(naishi mbali nae)nimekuta mdada anamfulia nguo pamoja na boxer zake yeye hayupo ikabidi nimuulize huyu dada yeye ni nani?akanijibu yeye ndo huwa anamfulia na kumfanyia usafi kisha anamlipa.hajawahi kunigusia hili swala.je ni sawa jamni nisaidieni kabla sijakinukisha.
Nimemtembelea mpenzi wangu leo(naishi mbali nae)nimekuta mdada anamfulia nguo pamoja na boxer zake yeye hayupo ikabidi nimuulize huyu dada yeye ni nani?akanijibu yeye ndo huwa anamfulia na kumfanyia usafi kisha anamlipa.hajawahi kunigusia hili swala.je ni sawa jamni nisaidieni kabla sijakinukisha.