Mpenzi wangu amebadilika ghafla, nifanyeje?

Mpenzi wangu amebadilika ghafla, nifanyeje?

47pro

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
1,204
Reaction score
334
Kudos hi there!!!

Wakuu kuna huyu mpenzi tulijuana kipindi akiwa amekonda, kiasi kwamba angetosha kwenye viganja vyangu. Ila uvaaji wake siku hizi lazima ajipake poda. Na kwa sasa amekuwa mnono as if anatumia injection zile ambazo humfanya mtu anenepe.

The issue ni kwamba every day anazidi kuwa mzuri tu, mpaka hata yeye amekuwa anajishangaa.

Hebu niambieni nifanyeje wakuu. I know she went injection tho she refused to tell me the truth!!
 
Mfyuu, kwa uelewa wako kunenepa ndio kuwa mzuri, lkn kwa wengine ni kuharibika!
 
Atakua a
Kudos hi there!!!

Wakuu kuna huyu mpenzi tulijuana kipindi akiwa amekonda, kiasi kwamba angetosha kwenye viganja vyangu. Ila uvaaji wake siku hizi lazima ajipake poda. Na kwa sasa amekuwa mnono as if anatumia injection zile ambazo humfanya mtu anenepe.

The issue ni kwamba every day anazidi kuwa mzuri tu, mpaka hata yeye amekuwa anajishangaa.

Hebu niambieni nifanyeje wakuu. I know she went injection tho she refused to tell me the truth!!
Atakua anakunywa maji mengi na chips mayai....mshauri aache kunywa maji mengi..
 
Kudos hi there!!!

Wakuu kuna huyu mpenzi tulijuana kipindi akiwa amekonda, kiasi kwamba angetosha kwenye viganja vyangu. Ila uvaaji wake siku hizi lazima ajipake poda. Na kwa sasa amekuwa mnono as if anatumia injection zile ambazo humfanya mtu anenepe.

The issue ni kwamba every day anazidi kuwa mzuri tu, mpaka hata yeye amekuwa anajishangaa.

Hebu niambieni nifanyeje wakuu. I know she went injection tho she refused to tell me the truth!!
Dawa ya moto ni moto. Akikubadilikia na wewe mbadilikie.
 
Kwani wewe ulitakaje aweje?hakuna binadamu mwembamba as long anapata kila kitu na moyo unaridhika.
 
Una uhakika gani kama ametumia sindano ili hali yeye mwenyewe kakataa...Yamkini amepata mtu anaye tuliza moyo wake kwa sasa ndiyo siri ya yeye kuwa mzuri na mnene...We endelea kushupasha akili yako kwenye matumizi ya madawa ushindwe kufikiria nje ya box hadi aje na ujauzito ndiyo utajua..
 
Heading yako na maelezo ni vitu viwili tofauti nilitegemea unazungumzia kubadilika kwa tabia kumbe umbile. Hata hivyo ngoja waje waliobobea katika mabadiliko ya maumbile ya mwili
 
Kudos hi there!!!

Wakuu kuna huyu mpenzi tulijuana kipindi akiwa amekonda, kiasi kwamba angetosha kwenye viganja vyangu. Ila uvaaji wake siku hizi lazima ajipake poda. Na kwa sasa amekuwa mnono as if anatumia injection zile ambazo humfanya mtu anenepe.

The issue ni kwamba every day anazidi kuwa mzuri tu, mpaka hata yeye amekuwa anajishangaa.

Hebu niambieni nifanyeje wakuu. I know she went injection tho she refused to tell me the truth!!
Tafuta mwingine..
 
Mkuu Loeb S Mpalasinge umeniwahi. Mimi mwenyewe kutokana na aina ya threads na arguments zake humu JF nilijenga picha kuwa 47pro ni KE. Ila hapa muandiko unaashiria ni ME au Lesbian. Ngoja tusubirie ufafanuzi wake
Between the line anaonyesha ana hilo tatizo.Nimshauri tu bado mda anao wa kujitafakari,,ni ipi njia sahihi zaidi.
 
Back
Top Bottom