Mpenzi wa hivi tunamfanyaje

best the american dream unaongea nini tena? kuna tofauti ya kuomba na kupiga mizinga. wewe kila siku huna aaahh halafu kujenga kwake kunakihusu nini?? gangamala kiume

Since i know her that was my first time namuomba msaada,kama kusaidiwa na rafiki sio vizuri whats the meaning of friendship na namsubiri kwaa kwel!,nyumba mi wala sina tatizo nayo ni ya kwake nilisema nikirefer kuwa economically she is well tofauti na mimi lakini its ok muda utaongea.
 
Last edited by a moderator:
Mapi hata neno la mungu linakukumbusha kuwa uresponsible kwa mkeo eeeh. sio mizinga ya ajabu wakati wewe ndo key wa nyumba

nikumbushe hiyo mistari tafadhali....
 
Loooooh!!!! mie kumpa mwanaume hela labda ya vidonge tu na tena awe na kisibitisho cha homa kali! otherwise hela yangu kwny pay slip bank.
 

Kwani huyo mpenzi mpo nae watu wangapi?
 
Kuna wanaume wanapiga mizinga wanawake wanasubiri.
 
kuwa makini utabaki kuwastarehesha wanaume. tulia na ulie nae maisha yamebadilika life kusaidiana. why mmeiga maisha mengi ya mbele hilo mmeshindwa? kama nyie mamanzi wa TZ ni hodari kwa kuiga igenina hilo sio kuzoea kuletewa tu ndo maana mnakuwa hamna maamuzi .msiwe km nchi yenu inayotegemewa kila kitu kupewa mwisho wa siku hatuna maamuzi na nchi yetu tunaamliwa na wengine. think about that!
 

Ooh now i get you.....
 
my dear nipo....mzima weye...?

nimekumiss pia mwaya.....nani alikuficha huyo?
 
hata mimi pia mwanamke anayepiga mizinga kila dakika huwa ananiboa sana!!!
unakuta anafanya kazi nzuri yenye kipato kikubwa ila kila kukicha ni ngendembwe mpya!!!!
mwanamke wa hivyo huwa namkimbia kisailensa!!!
 
hata mimi pia mwanamke anayepiga mizinga kila dakika huwa ananiboa sana!!!
unakuta anafanya kazi nzuri yenye kipato kikubwa ila kila kukicha ni ngendembwe mpya!!!!
mwanamke wa hivyo huwa namkimbia kisailensa!!!

The End... wanawake wazuri wote utawaita mashemeji kwa ubahili wako oooohoooooo
 
Last edited by a moderator:
Loooooh!!!! mie kumpa mwanaume hela labda ya vidonge tu na tena awe na kisibitisho cha homa kali! otherwise hela yangu kwny pay slip bank.

We ni hatari nimekupenda bure..sio siri haipendezi kabsaaa dume zima kuomba hela kwa mwanaume
 
Mmmhhhhh unaonekana unapenda sana mteremko. Ww ndo wale mnaowafanya wapenz wenu ni baba zenu, yani kila kitu wawagharamie. Mnataka kila mnachofanya pamoja gharama alipe yy na sio ww. Mmmhhh mbadilike jaman.
 
Sijui hata unanza anzaje? najua wenye tabia hii ni wale wanaume wanojiona 'warembo'

Siyo warembo tu na wale wenye madushe makubwa! Kazi yao ni kujisifia nitaktmba vzr ukojoe goli 100! Mara babe naenda Jim nyoooooooo huku mfukoni kuna business cards za wanawake independent mji mzima! Very low!
A man that has SELF PRIDE won't ask a lady 4 money even when he is broke! Wanajiabisha mno mno! Very low!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…