Mpenzi wa hivi tunamfanyaje


Sista.Unawarudisha wenzako kwenye mfumo dume wanaupinga kila siku!!! Huoni hata katiba mpya imeweka 50 kwa 50. Chukulia wewe (ke) umebahatika kuwa mbunge ukiingia mjengoni kwa siku una Tsh330000 mwenzi wako (me) ni mshika chaki shule za kata kwa mwezi anapata Tsh 450,000/= je akiomba pesa utammwaga?? Au utaacha kumtunza ili aendane na hadhi yako? Usipomtunza utamwona si hadhi yako matokeo ya utalala na kina mh kapteni komba na mh wasira ambao ni waheshimiwa wenzako.
 
Last edited by a moderator:
ohhh mario motema na ngai mwasu kitoko
 
Kuomba ilhali niko mzima kiakili na kimwili kwangu mwiko.

Been on my own since I was 18 and I've never asked even my parents for money.

Sasa sielewi dume zima unaanzaje kumwomba mtu mwingine hela.

Kweli haiingii akilini kwa mwanaume mwajibikaji.
 

Hahaha yani hio blog inaniacha hoi...oot nomaaa
 
Last edited by a moderator:
umenena kweli tena usiombe wewe ukawa mfanya biashara afu yeye mfanyakazi kila siku atakuwa anasingizia baby mshahara bado naomba nisaidie ela ya kula wanaume wengine hawana ata aibu.

Ila anapataje guts za kuanza kuomba??itakuwa bidada amejishebedua tena hujajua hio story,huyo mwanaume anawachuna wadada watatu wote huyo mmoja kashtukia ndo kaja kuomba ushauri
 

Haaa rafiki yangu ningekua sijui ID yake ya JF ningehisi ni wewe maana aliachana na huyo kijana alikua full kumuomba ela.. mara ya kwanza akawa anatoa si anajua zile za kusaidiana ye akiombwa mkavu.. ikabidi amuache kila mtu aende na njia yake
 
sikumbuki mara ya mwisho kutuma SLP
tutawasiliana vipi?halafu kesho natoka pande za mkuranga,kisemvule,nitapitia kunduchi kwa utafiti,nitakuwa na tikiti maji za kukuzawadia utafurahia zilivyo tamu ukitafuna lazima ulowe kifua.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…