Yaani wew ni mwanamke na umemfumania mwanaume na bado akakutusi wewe mbele ya huyo mwanamke.
Na amekuja kukuomba msamaha, ujue hana lolote zaid ya kutaka kukufunua tena.
Hakuna mapenz hapo , ametaman tu tena K yako na kwakuwa anajua una mpenda anahisi utamsamehe na game atapiga.
Na ww acha kukaa kisoro soro, tafuta mwanamme wako utulie, pengine uko idle akaona anaweza kukupata tena.