rasheid
Member
- Nov 7, 2017
- 12
- 4
Habari zenu wandugu,
Nilikuwa na mpenzi wangu tuliependana sana wakati tunafanya kaz katika ofisi moja, kwakuwa mapenzi hayana kificho yakajulikana kutokana na kuingiza mapenzi muda wa kazi ikabidi mmoja wetu ahamishiwe kituo kingine cha kazi
Yule mchumbaangu wakamuhamisha tukawa mbalimbali, umbali ule ukaanza kuwa tatizo katika mahusiano yetu akaanza kupoteza imani nami kwa kuwasikiliza watu na kunishutumu mambo yasio na ukweli kila siku linazaliwa jipya, nikajitahidi kukaa nae chin kumuweka sawa ila anabadilka siku 2 then anarudia tena makosa yaleyale tulienda hivyo mpka siku niliposhikwa na hasira na kumwambia mm na yy basi, ila nilizungumza vile nikiwa na hasira tu kwa kunishutumu kila siku kwa mambo yasio ya kweli lakini kiukweli bado nampenda sana,nilifanya vile nikitegemea atambue makosa yake na ajirekebishe.
Wakati tupo kwenye tatzo lile mimi nikapata uhamisho nje ya mkoa na kuelekea dar nikaondoka bla kumuaga na miezi miwili mbele kumtafta akanambia kapata mchumba na ashatolewa barua na yeye hakujua kama mimi ntakuwa na mpango nae tena baada ya kuju nimeondoka bila kumuaga,ila nampenda sana mpenzi wangu najitahidi kumbembeleza anielewa.
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zanguni nifanyaje na bado nampenda mpenzi wangu?
Nilikuwa na mpenzi wangu tuliependana sana wakati tunafanya kaz katika ofisi moja, kwakuwa mapenzi hayana kificho yakajulikana kutokana na kuingiza mapenzi muda wa kazi ikabidi mmoja wetu ahamishiwe kituo kingine cha kazi
Yule mchumbaangu wakamuhamisha tukawa mbalimbali, umbali ule ukaanza kuwa tatizo katika mahusiano yetu akaanza kupoteza imani nami kwa kuwasikiliza watu na kunishutumu mambo yasio na ukweli kila siku linazaliwa jipya, nikajitahidi kukaa nae chin kumuweka sawa ila anabadilka siku 2 then anarudia tena makosa yaleyale tulienda hivyo mpka siku niliposhikwa na hasira na kumwambia mm na yy basi, ila nilizungumza vile nikiwa na hasira tu kwa kunishutumu kila siku kwa mambo yasio ya kweli lakini kiukweli bado nampenda sana,nilifanya vile nikitegemea atambue makosa yake na ajirekebishe.
Wakati tupo kwenye tatzo lile mimi nikapata uhamisho nje ya mkoa na kuelekea dar nikaondoka bla kumuaga na miezi miwili mbele kumtafta akanambia kapata mchumba na ashatolewa barua na yeye hakujua kama mimi ntakuwa na mpango nae tena baada ya kuju nimeondoka bila kumuaga,ila nampenda sana mpenzi wangu najitahidi kumbembeleza anielewa.
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zanguni nifanyaje na bado nampenda mpenzi wangu?