Mpende mkeo hawala hana shukrani

Mpende mkeo hawala hana shukrani

ashishi vidyat

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2025
Posts
206
Reaction score
281
Hiki ni kisa chenye mafundisho makubwa sana kwetu sisi wanaume
Kuna rafiki yangu mmoja hivi alikuwa na mkewe mzuri tu na mungu aliwajalia watoto na kipato chao kilikuwa cha kati
Sasa kama unavyojua sisi wanaume tunapopita mitaani macho kodo kudele warembo

Basi katika pita pita za mitaani jamaa akanasa kwenye penzi matata sana la mtoto wa kimwera kama unavyowajua wamwera hawanaga kazi mbovu show show ukiwa bwege unaisahau familia

Basi jamaa akazama mazima kwenye penzi la mtoto wa kimwera ikawa siku anarudi nyumbani siku harudi
Mapenzi nyumbani yakapungua na furaha ikatoweka

Mkewe akawa mtu wa mawazo sana na kujiuliza ni nini kilichompata mumewe
Mara siku sio nyingi mke akaanza kuumwa na mume ndio kabisa akapata chance ya kuwa anaenda kabisa kwa mchepuko wake wa kimwera pasipo kuijali afya ya mkewe

Siku moja jamaa akatoka safari ya kwa mchepuko wake kufika kule mchepuko wake wa kimwera haupo jamaa kulizia akambiwa ameenda ruvuma kufuata samaki

Jamaa kwa kuwa alishazama kwenye penzi la mmwera wivu ukamshika nae akafunga safari kumfuata mchepuko wake ruvuma

Jamaa alivyotoka tu huku nyuma mkewe ugonjwa ukamzidia wasamalia wema wakampeleka hospital mumewe akipigiwa simu muda wote haipatikani
Haikupita muda mke anafariki
Jamaa akipigiwa simu bado haipatikani

Ndugu wakachukua mwili wa ndugu yao wakaufanyia mazishi pasipo mume kuwepo wala kujua
Bc mazishi yalipopita siku sio nyingi mumewe akarudi kufika wanapoishi kila mtu anamuangalia yy kwa macho mabaya ndipo wazee wakamueka chini kumuhoji na kumpa tarifa za msiba wa mkewe jamaa akanza kulia na wengn weny hasira wakataka kumpiga

Jamaa ikawa kwake hakukaliki akaona isiwe tabu kwa kupata faraja wapi ni kwa mchepuko wake kufika kule anambiwa mchepuko ushapanda maning nice upo dar kwa mumewe penzi limerudi upya
Jamaa akapagawa siku kawa mtu wa Tungi

Tuwaheshimu sana wake zetu
 
Hiki ni kisa chenye mafundisho makubwa sana kwetu sisi wanaume
Kuna rafiki yangu mmoja hivi alikuwa na mkewe mzuri tu na mungu aliwajalia watoto na kipato chao kilikuwa cha kati
Sasa kama unavyojua sisi wanaume tunapopita mitaani macho kodo kudele warembo

Basi katika pita pita za mitaani jamaa akanasa kwenye penzi matata sana la mtoto wa kimwera kama unavyowajua wamwera hawanaga kazi mbovu show show ukiwa bwege unaisahau familia

Basi jamaa akazama mazima kwenye penzi la mtoto wa kimwera ikawa siku anarudi nyumbani siku harudi
Mapenzi nyumbani yakapungua na furaha ikatoweka

Mkewe akawa mtu wa mawazo sana na kujiuliza ni nini kilichompata mumewe
Mara siku sio nyingi mke akaanza kuumwa na mume ndio kabisa akapata chance ya kuwa anaenda kabisa kwa mchepuko wake wa kimwera pasipo kuijali afya ya mkewe

Siku moja jamaa akatoka safari ya kwa mchepuko wake kufika kule mchepuko wake wa kimwera haupo jamaa kulizia akambiwa ameenda ruvuma kufuata samaki

Jamaa kwa kuwa alishazama kwenye penzi la mmwera wivu ukamshika nae akafunga safari kumfuata mchepuko wake ruvuma

Jamaa alivyotoka tu huku nyuma mkewe ugonjwa ukamzidia wasamalia wema wakampeleka hospital mumewe akipigiwa simu muda wote haipatikani
Haikupita muda mke anafariki
Jamaa akipigiwa simu bado haipatikani

Ndugu wakachukua mwili wa ndugu yao wakaufanyia mazishi pasipo mume kuwepo wala kujua
Bc mazishi yalipopita siku sio nyingi mumewe akarudi kufika wanapoishi kila mtu anamuangalia yy kwa macho mabaya ndipo wazee wakamueka chini kumuhoji na kumpa tarifa za msiba wa mkewe jamaa akanza kulia na wengn weny hasira wakataka kumpiga

Jamaa ikawa kwake hakukaliki akaona isiwe tabu kwa kupata faraja wapi ni kwa mchepuko wake kufika kule anambiwa mchepuko ushapanda maning nice upo dar kwa mumewe penzi limerudi upya
Jamaa akapagawa siku kawa mtu wa Tungi

Tuwaheshimu sana wake zetu
Wamwera wapi hao tupo nao huku kwao kusini mbona hawana maajabu yoyote...na vijora vyao vichafu chafu tu
 
Hiki ni kisa chenye mafundisho makubwa sana kwetu sisi wanaume
Kuna rafiki yangu mmoja hivi alikuwa na mkewe mzuri tu na mungu aliwajalia watoto na kipato chao kilikuwa cha kati
Sasa kama unavyojua sisi wanaume tunapopita mitaani macho kodo kudele warembo

Basi katika pita pita za mitaani jamaa akanasa kwenye penzi matata sana la mtoto wa kimwera kama unavyowajua wamwera hawanaga kazi mbovu show show ukiwa bwege unaisahau familia

Basi jamaa akazama mazima kwenye penzi la mtoto wa kimwera ikawa siku anarudi nyumbani siku harudi
Mapenzi nyumbani yakapungua na furaha ikatoweka

Mkewe akawa mtu wa mawazo sana na kujiuliza ni nini kilichompata mumewe
Mara siku sio nyingi mke akaanza kuumwa na mume ndio kabisa akapata chance ya kuwa anaenda kabisa kwa mchepuko wake wa kimwera pasipo kuijali afya ya mkewe

Siku moja jamaa akatoka safari ya kwa mchepuko wake kufika kule mchepuko wake wa kimwera haupo jamaa kulizia akambiwa ameenda ruvuma kufuata samaki

Jamaa kwa kuwa alishazama kwenye penzi la mmwera wivu ukamshika nae akafunga safari kumfuata mchepuko wake ruvuma

Jamaa alivyotoka tu huku nyuma mkewe ugonjwa ukamzidia wasamalia wema wakampeleka hospital mumewe akipigiwa simu muda wote haipatikani
Haikupita muda mke anafariki
Jamaa akipigiwa simu bado haipatikani

Ndugu wakachukua mwili wa ndugu yao wakaufanyia mazishi pasipo mume kuwepo wala kujua
Bc mazishi yalipopita siku sio nyingi mumewe akarudi kufika wanapoishi kila mtu anamuangalia yy kwa macho mabaya ndipo wazee wakamueka chini kumuhoji na kumpa tarifa za msiba wa mkewe jamaa akanza kulia na wengn weny hasira wakataka kumpiga

Jamaa ikawa kwake hakukaliki akaona isiwe tabu kwa kupata faraja wapi ni kwa mchepuko wake kufika kule anambiwa mchepuko ushapanda maning nice upo dar kwa mumewe penzi limerudi upya
Jamaa akapagawa siku kawa mtu wa Tungi

Tuwaheshimu sana wake zetu
Hajajiua huyu jamaa yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom