Mpemba na Binti

Richie17

Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
15
Reaction score
1
Mpemba alikua Anamfundisha binti yake kusoma..

MBA MBE MBI MBU

binti akauliza
.....Mbona moja umeiruka

mpemba akajibu
..hiyo utajifunza kwa mumeo
 
Moja nepa shauri ya Mavi
Mbili nepa Shauri ya Mavi
Tatu nepa shauri ya mavi...
.
.
.
.Tisa nepa shauri ya mavi.
 
Moja nepa shauri ya Mavi
Mbili nepa Shauri ya Mavi
Tatu nepa shauri ya mavi...
.
.
.
.Tisa nepa shauri ya mavi.

Hahahaaaaa hiii kitambo sanaaaa umenikumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…