Mkuu hii si umeipata HAPA?Ntoto weyee wallahi wanimaliza, unrefu kama nkarafuu, mashallah wang'ara kama embe boribo, nywelezo zinnyooka kama kamba za mibungo, kifua kintuna kama nazi koroma, miguuyo injaa kama ndizi ya nkono wa tembo. He! Nifikirie mwenzio naumia mie..ee..ee.
hahahahaahhhahah wako humu kweli sina uhakika...
Mkuu hii si umeipata HAPA
Mkuu ni katika kukumbushana tu, yaani hata kutoa credit kunamshinda!?ahh! Mkuu ungempotezea tu ili mradi katuchekesha. Mbona copy and paste hapa za kumwaga? Au unadai mambo ya hati miliki....LOL
Thanks shosti. Thanks jaluo nyeupe. Thanks X-PASTER.
Ah ah ah ah, mkuu si nimekupa link kaka au ndio hutaki? usijali lakini, tupo pamoja!X-PASTER acha mambo yako. Hii ni brand new bwana.
Mkuu .Nakupigia saluti na mguu sawaaaa.Ah ah ah ah, mkuu si nimekupa link kaka au ndio hutaki? usijali lakini, tupo pamoja!
Ila ukitaka unaweza kufungua hapa: https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/46965-mpemba-akitongoza.html
Ntoto weyee wallahi wanimaliza, unrefu kama nkarafuu, mashallah wang'ara kama embe boribo, nywelezo zinnyooka kama kamba za mibungo, kifua kintuna kama nazi koroma, miguuyo injaa kama ndizi ya nkono wa tembo. He! Nifikirie mwenzio naumia mie..ee..ee.
Ha ha ha haaah!!Duh! Hii kali. Niliwahi kupata na hii juu ya utongozaji wa Wapemba (samahani kwa kuvamia uwanja):
Geuka nti n-geuke komba nkuchapie
Gueka chungu n-geuke mwiko nkupakue
Geuka kitanda n-geuke ntu nkulalie
Nimejitokeza mtoto wa UWANDANI PEMBA huyu jamaa kadanganya hatutongozi hivyo
Jaman yaan ni kweli kabisa,
hao ndo wanavyoongea na hufanikiwa