Mpeleke kayumba, watakutana Chuoni

Mpeleke kayumba, watakutana Chuoni

Mpeleke uko kayumba uone akikuletea division zero ndo akili yako itakaa sawa. Ivi unajua ratio ya wanaofaulu kayumba na private ni kiasi gani? Kayumba wanafanya paper la form four watu 100 div 1 8 div 2 10 div 3 18 wengine waliobaki ni div 4 na zero. Wakati kwa private nzuri ni vice versa div 4 na zero unaweza kuta ni mbili au tatu. Usilete utani na elimu ya watoto. Una uhakika mtoto wako ana akili ya kuweza kuwa kati ya hao wachache watakaofaulu kwenye io kayumba? Tatizo lenu mnajikuta mnajua sana kubana matumizi mpaka mnataka kuharibu future ya za watoto wenu. Ukimpeleka kayumba akarudi na div 0 utaweza kumwambia nini? Unasema kabisa eti watakutana chuon wewe unajua ni asilimia ngapi ya hao wanaoingia vyuo vizuri wamepitia kayumba? Embu nenda pale muhumbili coet nk ukaangilie ni asilimia ngapi wanetoka kayumba za kawaida( ukiacha shule za vipaji kama mzumbe ilboru nk) na ukinganishe na waliotoka private za kawaida tu ndo ufanye maamuzi. Tatizo lako huyo mtoto wako humtakii future njema nyie ndo wale wazazi mnachangia sana kwenye kufa ndoto za watoto wenu.
All in all kama dogo yupo njema class ata akipita kayumba atapata grade nzuri na kufikia malengo yake ila ukae ukijua kama ni wale wa kubustiwa na kuhitaji msukumo mkubwa utampotezea huko kayumba


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
waache watu wafanye maamuziya watoto wao. Sijui kama kweli wewe una mtoto.
 
Habari zenu wadau, kwa wale ambao hamjui mnapataje ada hadi sasa hivi poleni sana

Usimpeleke mtoto shule yenye ada kubwaaa ambayo unaona kabisa haiendani na kipato chako eti kisa tu watoto wa staff wenzio wote wako shule hizo.

Au majirani watakuchukuliaje, kila mtu anakujua wewe ni msomi mwenye kazi yake sehemu flani so unaona ukimpeleka st. Kayumba unajishushia hadhi,

Pole sana maana unaishi kuridhisha watu, maamuzi na uhalisia wa kipato chako unakijua wewe, una limkopo kama lote benki, wakati huo huo loan board nao wanakukata, kodi ya nyumba, mara gari inataka service na mafuta bila kuangalia ndugu wanakutegemea, acha kuchosha akili hebu mpeleke tu shule ya kawaida hakikisha unamfatilia vizuri anapata muda wa kujisomea vizuri mbona sisi tulipita huko huko na bado tukapass?


#Asubuhi njema

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahahaa

Watakutana chuo kipi sasa?

Maana kuna vyuo vizuri na vyuo vibaya,sasa hawa watoto watakutana chuo kipi hasa?

Maana ni wazi wataenda vyuo tofauti,sasa sijui yupi ataenda chuo bora na yupi ataishia chuo cha kiduwanzi!

Elimu ni uwekezaji,sasa acha kuwekeza uone moto wake!
 
Binti inaelekea unapata makarai, unasoma chuo gani?? isije kuwa zoom pale magomeni mapipa.
Vyuo vikuu vina heshima yake, ukipata admission automatically uko vizuri
Hahahahhaa hii ni Product ya Sokoine baba
Home of excellence
 
Hahahahaa

Watakutana chuo kipi sasa?

Maana kuna vyuo vizuri na vyuo vibaya,sasa hawa watoto watakutana chuo kipi hasa?

Maana ni wazi wataenda vyuo tofauti,sasa sijui yupi ataenda chuo bora na yupi ataishia chuo cha kiduwanzi!

Elimu ni uwekezaji,sasa acha kuwekeza uone moto wake!
Hahahha uzi wa siku nyingi

Hebu acha wakutane hata Zayoni
 
Mzazi kama pesa ipo lipia mtoto shule nzuri utakua umepunguza usumbufu wa mambo madogo madogo mengi kwako na kwa mtoto wako
Mtu anafika hadi kuajiriwa hajui comp😏😏😏
Watu chuoni wanatoka kwenye paper wanadiscuss na kuulizana maana ya pros and cons wtf🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom