Mpeg 4 Digital HD receiver!

Hawa ndo kama mawaziri wa CCM hajui kitu lakini anatoa ufafanuzi.Tangu lini decoder ikakaa nje eti pale juu ya dish.Kadanganye facebook sio hapa.
decoder inakua nje. Pale juu ya dish. Receiver ni ile ya ndani unayo locate remote. Kama deck flan
 

ha ha ha ha bro umenifumbua. Nlikua celew nkakisia tu! So transponder y e unawezanisaidia?

Kwenye c band au ku band!
 
Hawa ndo kama mawaziri wa CCM hajui kitu lakini anatoa ufafanuzi.Tangu lini decoder ikakaa nje eti pale juu ya dish.Kadanganye facebook sio hapa.

ha ha ha ha. C unajua katka kuchangia kaka mkubwa. Xo transponde ye e katka c band au ku band ! MSAADA.
ILA IWE TOFAUT NA TRANSPONDER ZA DSTV AU MYTV
 
Nauliza tena kwa nini nikiweka tbc kwenye receiver yangu star tv inatoka na nikiweka star tbc inatoka?
 
Nauliza tena kwa nini nikiweka tbc kwenye receiver yangu star tv inatoka na nikiweka star tbc inatoka?

du! kaka umekereka kweli. Fanya hiv, delete tp ambazo hazi2miki, pengine memory imejaa halafu blind scan decoder yako(ucfanye manual search) hili likishindwa zungusha lnb yako clockwise/anticlowise. Nasubiri fback
 

Watapata kama wengine kwani wao hawana hela za kununua KU band LNB?
 
du! kaka umekereka kweli. Fanya hiv, delete tp ambazo hazi2miki, pengine memory imejaa halafu blind scan decoder yako(ucfanye manual search) hili likishindwa zungusha lnb yako clockwise/anticlowise. Nasubiri fback

Yaani kaka niliwahi kuresert ikabaki haina kitu na nikajaribu ili niziweke hizo mbili tu! lakini nilipata majibu yale yale! nikiweka moja nyingine inakimbia nikiweka nyingine ile ya mwanzo inakimbia. Yaani hazitaki kukaa hizo mbili pamoja.
Labda nijaribu njia hiyo nyingine uliyoweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…