Mpe neno huyu mpiganaji....

hahahahahahahahha kama ni picha ndo kwanza trela hiyo baba kaa mkao wa kuvuliwa hadi hiyo bukta
 
Last edited by a moderator:
Don king mwenyewe kaamua kuingia ulingoni
 
kuna mjanja mmoja kani-pm hii pic.. kasema niiweke hapa kwa niaba yake!!

eti iwafikie sapotaz wa cccm!!

 
Don king mwenyewe kaamua kuingia ulingoni

hahahaaa!!! kura yako mzee!!

si unajua tena maziwa na asali lazima vitatoka mabombani by 2015?
 
hahahaaa!!! unanichamba eeeh!!

haya bana, mi nakudediketia haka kafoto!!

kakupunguzie hathira!!!

hahahahahha hako kapicha kananiongezea njaa tu kampe under 20 mango g
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa!!! miss neddy bana! kwani wewe ulipewa kipindi gani vile? afu ndo utudanganye uko sealed!! weeeh!!!

hapo sasa Excel si bure una agenda gani be open maana maswali yako yamekaa kama mtu mwenye hama ya kuvaa gwanda
 
Last edited by a moderator:
Atafika salama kweli huko anapokwenda.....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…