Mpanzu atua Kambini Misri Kibabe sana

Mpanzu atua Kambini Misri Kibabe sana

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
2,734
Reaction score
6,559
Mchezaji wa Simba Elie Mpanzu hatimae ametua kambini huko misri baada ya kelele nyingi sasa ni rasmi kaungana na wenzake katika maandalizi ya msimu mpya

Wale vyura wa Jangwani Mpo wapi, Mpanzu huyu hapa
IMG-20250805-WA0015.jpg
 
Mchezaji wa Simba Elie Mpanzu hatimae ametua kambini huko misri baada ya kelele nyingi sasa ni rasmi kaungana na wenzake katika maandalizi ya msimu mpya

Wale vyura wa Jangwani Mpo wapi, Mpanzu huyu hapaView attachment 3432363
haya mfanye mazoezi sasa sio ligi ikianza tuanze kusikia milio ya wasaliti ndani ya timu,mara mangungu out,ooh sowah yule yanga damu hatutaki hatutaki hatutaki...
 
Hivi kuna mashabiki wa simba walikuwa wanaamini Mpanzu anawindwa na Yanga! Mbona kwa haraka haraka mfumo wa uchezaji wa Yanga na aina ya uchezaji wa Mpanzu, haviendani!

Au ni mimi peke yangu ndiyo nilikuwa siamini kuhusu hizi taarifa!!
 
Hivi kuna mashabiki wa simba walikuwa wanaamini Mpanzu anawindwa na Yanga! Mbona kwa haraka haraka mfumo wa uchezaji wa Yanga na aina ya uchezaji wa Mpanzu, haviendani!

Au ni mimi peke yangu ndiyo nilikuwa siamini kuhusu hizi taarifa!!
hadi chama mlisema ".. Oh chama yupo slow kama konokono hafit kucheza yanga...". Zimbwe mzee mwishowe mumemchukuwa.
 
HIvi huyo mpanzu mbona mnampaisha sana,uwezo mbona wa kawaida sana,wabongo sijui tukoje yaani.. utadhania bonge la player yaani
 
HIvi huyo mpanzu mbona mnampaisha sana,uwezo mbona wa kawaida sana,wabongo sijui tukoje yaani.. utadhania bonge la player yaani
Mkaulize kasemaji kenu ka utopolo maama ndo kalianzisha hii drama kwa kushiirikiana na ponjolo la crown fm
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hivi kuna mashabiki wa simba walikuwa wanaamini Mpanzu anawindwa na Yanga! Mbona kwa haraka haraka mfumo wa uchezaji wa Yanga na aina ya uchezaji wa Mpanzu, haviendani!

Au ni mimi peke yangu ndiyo nilikuwa siamini kuhusu hizi taarifa!!
Hili awali ungewauliza Utopolo wenzio
 
Hivi kuna mashabiki wa simba walikuwa wanaamini Mpanzu anawindwa na Yanga! Mbona kwa haraka haraka mfumo wa uchezaji wa Yanga na aina ya uchezaji wa Mpanzu, haviendani!

Au ni mimi peke yangu ndiyo nilikuwa siamini kuhusu hizi taarifa!!
Kamwe alisema aitwe Elii, na kuahidi 10m.
 
Back
Top Bottom