Mpango wa UVCCM wafichuka

Wazushi dawa yao kuwazushia wao uone watakavyoruka.
Wanajitekenyaga na kucheka wenyewe sie tunawaangalia ila ukiwatekenya wewe sasa ndo ...............
 

Hili limejulikana mapema tu. CCM hawana jinsi kwasababu badala ya kutoa sera wao wanatafuta viji kashfa na mameno ya kuunga unga ili kuwa hadaa watanzania ambao tayari wanajua kwamba CCM sio chama cha kuwaletea mabadiliko. Nani ana pingana na hili. CCM haina namna tena. Wame ibuka watu wa hovyo hovyo kwenye mitandao ya kijamii wenye kulelewa na CCM na posts za kijinga kila kukicha wakidhani kila anayesoma posts hizo ni mjinga kama wao. UKAWA ni zaidi ya Mabadiiko ya kawaida na bahati mbaya kwa CCM mabadiliko haya yamekuja wakati muafaka zaidi ambao watanzania wamesha choka na ulaghai. ULIPO UKAWA NA SISI TUPO
 
Mpuuzi mmoja wao ni huyu hapa Mr Chin anapost ujinga na upuuzi kama alivyoyeye mwenyewe. Huwa nikiona post zake walasiangaingi kufungua link yake yoyote ni muongo kama Kikwete au Magufuli
umeandika ukweli sana ! nina mashaka anaweza kuja na ID mpya maana hawaoni aibu kuja kwa id 10 .
 

uvccm kwa sasa ni kikundi cha wahuni2.
 
Jamani wenye namba za Tigo, huyu j.i.n.g.a mwenye namba +255 656 131 700 anaitwa nani?
 
Jamani hawa jamaa wanahara kama wanakipindu pindu lumumba hapakaliki!!
 
Hv Leo Ndo Mnaonapost Za Kizush Za Ccm Kwani Zenu Nyie Hamzion?
 

Na wewe unategemea kulipwa kwa post hii?
 
Mimi nipo mbali wakuu, nawaza hawa wabunge wa ccm walikuwa wamezoea kubebwa bungeni na spika na ndiwooooo, watakapokuwa upinzani watakuwa na hoja gani hawa weupe piru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…