Mpango wa new world order

well said mkuu
 
Mmmmh..!!
 
Mkuu wapo watakaotoka sema kwa mujibu wa maandiko watakuwa wachache.
 
Nelewa mada ila majibu yako ndiyo siyaelewi ...!!
Ni watu wachache sana wanakaa mkao wa kuelewa, fuatilia maandiko utagundua asilimia kubwa walikuwa wanaangamia pamoja na kupewa maonyo ya kinabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…