Jebel
JF-Expert Member
- Jul 10, 2021
- 376
- 2,513
Salaam!
Kama kichwa kinavyojipambanua. Huu ndio mpango wangu miaka 3 ijayo. Jimbo nitalitaja hapo baadaye.
Kwa sasa naomba ushauri na mawazo yenu ya kunijenga na kuniwezesha kufanikiwa juu ya mpango wangu huu.
LENGO LA KUGOMBEA
Mbali na specialization yangu katika siasa, bado nimeona naweza kutoa mchango mkubwa katika kuwatetea wananchi wa jimbo langu ambao tangia uhuru wao bado wanaishi kama watumwa tu. Jimbo langu lipo pembeni ya nchi na hivyo wananchi wa eneo hilo hunasabishwa na wakimbizi. Ni bahati mbaya sana kwamba kila baada ya uchaguzi wawakilishi wetu hutimkia Dom au Dar huku wananchi wakibakia kunyanyaswa na “wenye uniform” bila mtetezi. Unaweza usiamini lakini ukweli ni kwamba ukifika jimboni kwangu utahisi haupo nchini Tanzania. I need to do something and I’m capable.
WASIFU WANGU KWA KIFUPI
1. Umri.......35years.
2. Elimu......bachelor degree in pure philosophy and masters degree in political philosophy.
3. Net worthy....+100M cash plus ~40M in assets
4. Marital status......Married
5. Experience..........Average
CHAMA CHA SIASA
-UPINZANI- preference ACT WAZALENDO
-Practical reason....... CHAMA CHA SIASA CHA UPINZANI CHENYE TASWIRA NA FALSAFA
Nakaribisha mawazo na ushauri wenu.
Aquila non capit muscas!
Kama kichwa kinavyojipambanua. Huu ndio mpango wangu miaka 3 ijayo. Jimbo nitalitaja hapo baadaye.
Kwa sasa naomba ushauri na mawazo yenu ya kunijenga na kuniwezesha kufanikiwa juu ya mpango wangu huu.
LENGO LA KUGOMBEA
Mbali na specialization yangu katika siasa, bado nimeona naweza kutoa mchango mkubwa katika kuwatetea wananchi wa jimbo langu ambao tangia uhuru wao bado wanaishi kama watumwa tu. Jimbo langu lipo pembeni ya nchi na hivyo wananchi wa eneo hilo hunasabishwa na wakimbizi. Ni bahati mbaya sana kwamba kila baada ya uchaguzi wawakilishi wetu hutimkia Dom au Dar huku wananchi wakibakia kunyanyaswa na “wenye uniform” bila mtetezi. Unaweza usiamini lakini ukweli ni kwamba ukifika jimboni kwangu utahisi haupo nchini Tanzania. I need to do something and I’m capable.
WASIFU WANGU KWA KIFUPI
1. Umri.......35years.
2. Elimu......bachelor degree in pure philosophy and masters degree in political philosophy.
3. Net worthy....+100M cash plus ~40M in assets
4. Marital status......Married
5. Experience..........Average
CHAMA CHA SIASA
-UPINZANI- preference ACT WAZALENDO
-Practical reason....... CHAMA CHA SIASA CHA UPINZANI CHENYE TASWIRA NA FALSAFA
Nakaribisha mawazo na ushauri wenu.
Aquila non capit muscas!