Mpango wa kuanzisha Chama kipya cha Siasa

Mpango wa kuanzisha Chama kipya cha Siasa

Zamazangu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
948
Reaction score
613
Kwa kadiri ninavyoliona sakata la akina Mdee naanza kuelewa kuwa lengo kuu ni kuua Upinzani. Baada ya uchaguzi inaonekana bado katika mioyo ya watu bado

Kuna Upinzani tatizo ni aina ya watu wazito waoga na wagumu kufanya maamuzi hatarishi. Wenye Nia ya kuua Upinzani wanahisi bado malengo hayajafanikiwa

MPANGO kwa Sasa ni kuanzisha Chama cha siasa ambacho kitaungwa mkono na watu wenye mlengo wa kipinzani. Akina Halima wanataka kutumika kukigawa chama kilichopo au kukiua kabisa

Kwa mantiki hii mgogoro unaoendelea kwa Sasa umepangwa na kuratibiwa vizuri ili kutimiza malengo hayo. Ni vema viongozi wa vyama vya Upinzani kujitahidi kusoma alama za nyakati na kukabiliana na watawala hata kieleweke.

Naomba kuwasilisha
 
Wala usipoteze muda kuwaza hayo, waanzishe hata sasa, lakini hakuna mtu mwenye akili timamu atawaunga mkono wasaliti.

Mdee na genge lake ndio basi tena, hawana tena mvuto, hawana agenda na wala hawana Platform. Wamejinyonga kisiasa.
 
Wala usipoteze muda kuwaza hayo, waanzishe hata sasa, lakini hakuna mtu mwenye akili timamu atawaunga mkono wasaliti.

Mdee na genge lake ndio basi tena, hawana tena mvuto, hawana agenda na wala hawana Platform. Wamejinyonga kisiasa.
Ni katika kujaribu hili au lile ili kutimiza malengo
Sishangai maana watu wameunga Sana juhudi lakini ni kama haijasaidia
Hii nayo ni kete ni vzr kujaribu.
 
Kuna Vyama zaidi ya 19 Nchini unadhani tatizo la Tanzania ni Chama kipya?
Kuweka utitiri wa vyama kwanza naona ni ujinga tu. Kila watu ndani ya chama wakishindwa kuelewana wanaanzisha chama kingine huki wakigawana wafuasi wa chama wanachotoka, na hata siku moja hawapati wafuasi kutoka chama wanachoshindana nacho.
 
Ni katika kujaribu hili au lile ili kutimiza malengo
Sishangai maana watu wameunga Sana juhudi lakini ni kama haijasaidia
Hii nayo ni KETE ni vzr kujaribu
Siasa haijaribiwi,siasa ni mikakati.

Hao wasaliti wa umma walishafeli kuweka mikakati yao ya kibedui kwa kutumia akili za akina chakubanga, No turning back.
 
Hakuna kitu mkuu watanzania sio wajinga, hata vije mia, nyakati zimebadilika Sana hizi tena Sana why vyama vilivyopo havina wafuasi maana tunaona utitiri wa vyama sio wa Dunia hii.
 
lengo limeshatimia.

kimsingi hakuna CHADEMA tena,kilichobaki ni alama tu.
 
Ni lini mtaelewa kwamba hata CDM kikifa upinzani still utakuwepo tu? Upinzani sio chama cha siasa wala kiongozi wa chama cha siasa.
 
Kwa taarifa yako huo mpango sio tetesi bali ni mkakati rasmi, na wenye huo mkakati wako sana humu wakipima upepo. Wako kwenye mitandao yote wakijaribu kuona kama cdm inapoteza uungwaji mkono.

Sio mara moja au mbili nimekuwa nikiwaambia hicho chama chao kinaanzishwa lini. Lakini ukiwaambia hivyo tu hawajibu chochote maana wanaona mkakati wao umestukiwa mapema. Hata kwenye uzi huu lazima wapo, na kama hawapo lazima waje.

Huenda hata ww mleta huu uzi ni muhusika wa huo mkakati. Ngoja tunywe tu mtori nyama tutazikuta chini. Ila wananchi wa sasa sio wale wa enzi za kina NCCR ya Mrema, Lipumba wa CUF nk.
 
lengo limeshatimia.

kimsingi hakuna chadema tena,kilichobaki ni alama tu.

Kama wizi wa kura ndio mafanikio ya huo mkakati, basi wapanga hiyo mikakati ni wazee au vijana wenye mawazo ya kizee. Kizazi hiki kinachagua kitakacho na sio kinachotakiwa na ccm na magenge yake, yaliyopata mamlaka kwa wizi wa kura.
 
Kama wizi wa kura ndio mafanikio ya huo mkakati, basi wapanga hiyo mikakati ni wazee au vijana wenye mawazo ya kizee. Kizazi hiki kinachagua kitakacho na sio kinachotakiwa na ccm na magenge yake, yaliyopata mamlaka kwa wizi wa kura.

mkuu siasa sio lelemama kama mnavyotaka kuishi nyinyi.
siasa ni fitna,mikakati,faulo,mahesabu makali na hata uchawi.

CCM inaiishi siasa,nyinyi mnaleta bla bla.

kura wamewapiga,mkiwa hamuelewi nini mfanye haraka mkarushiwa mkate wenye kamba kutoka kwa mrushaji,waliodaka mkate mkawaacha waende mkiwa hamjui chama kitajiendeshaje,wewe hapa unakuja kusema chadema ni mioyo ya watu!!!

watu gani??hawa waliogoma hata kuingia barabarani kupigania haki yenu!!!

Ee bwana eh sisi tuliwauliza tokea mwanzo"kwa nature ya jiwe,mnaingiaje uringoni bila tume huru"majibu yakawa siasa pia.
 
Wala usipoteze muda kuwaza hayo, waanzishe hata sasa, lakini hakuna mtu mwenye akili timamu atawaunga mkono wasaliti.

Mdee na genge lake ndio basi tena, hawana tena mvuto, hawana agenda na wala hawana Platform. Wamejinyonga kisiasa.
Wanawake mashoka unaowaona hapa ni kwasababu walipewa nafasi na CHADEMA hapa sitosema Chama chetu kinakandamiza Wanawake, kina Mfumo Dume, tupo hapa kwasababu tulipewa nafasi, Halima Mdee yupo hapa kwakuwa alijengwa, changamoto zinakuwepo ili zitatuliwe” -Mzee MDEE

Nakala ifike kwa Job Ndugai.
 
Ni katika kujaribu hili au lile ili kutimiza malengo
Sishangai maana watu wameunga Sana juhudi lakini ni kama haijasaidia
Hii nayo ni KETE ni vzr kujaribu
Sawa lakini hata wao wanajua kuwa wenyewe kwa wenyewe hawawezani ndomaana wameamua kujitoa ufahamu. Tena ukichukulia juzi bungeni walivyokuwa wanafanya comeds (Mf. Gwajima) washagundua bila upinzani hakuna bunge wala hoja. Ila kama ambavyo hawatumii akili wamewatumia vibaya kina Mdee na wakashtukiwa mapema.
Dawa ni kuamua kuachana na mawazo ya huyo msukuma mmoja na kurudi tulipokuwa.
 
Back
Top Bottom