Mpango wa Burundi kujitoa ICC

Mpango wa Burundi kujitoa ICC

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
5,787
Reaction score
4,875
Burundi ina mpango wa kujitoa ICC ikidai mahakama hiyo ni kandamizi na ni kwa ajili ya kuzionea nchi za Áfrika pekee, wakati huo huo mataifa makubwa yakiisii isijitoe.

Nini maoni yako na hii inatuma ujumbe gani "alert" kwa nchi nyingine za Áfrika.
 
Ni jambo Zuri kujitoa sababu hiyo Mahakama ni kichaka cha watu wachache waliyo itazama Afrika tuu.
Kwa hiyo kujitoa kwao ndiko kutawaamsha viongozi wengine
 
Anajaua yajayo mbele yake mr Kurunzi,waache kubadili katiba hovyohovyo
 
Back
Top Bottom