Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,787
- 4,875
Burundi ina mpango wa kujitoa ICC ikidai mahakama hiyo ni kandamizi na ni kwa ajili ya kuzionea nchi za Áfrika pekee, wakati huo huo mataifa makubwa yakiisii isijitoe.
Nini maoni yako na hii inatuma ujumbe gani "alert" kwa nchi nyingine za Áfrika.
Nini maoni yako na hii inatuma ujumbe gani "alert" kwa nchi nyingine za Áfrika.