Mpango told to explain where money for water projects went

Wabunge koko hawa wanawakilisha genge lao la wahuni Bungeni ili kuficha maovu yao mbali mbali nchini. Wamepoteza hadhi ya kuitwa wawakilishi wa Watanzania Bungeni.

Bunge ligeuke kama Bunge la South Africa Uganda Nigeria ni ngumi mwanzo mwisho tutaheshimiana.
Wabunge wa ccm wanalipwa kupitisha budget za ovyo na wana mgao kwenye pesa zinazoinishwa.
Wabunge wa ccm wote wezi
 
Hivi wizara ya maji inahitaji fedha kutoka hazina? Watuambie kwanza wamezalisha maji lita ngapi na wamekusanya kiasi gani na wametumia kiasi gani?

Kwanini wizara ya maji isiweke royalty ya shs 100 kwa viwanda vinavyotumia maji kama tbl azam cocacola na pepsicola.

Kwanini wasiweke fee za tanesco kwa kutumia maji ya mto kilombero kuzalisha umeme? Hiii vat tunayoshikana mashati haiwezi fanya kila kitu jamani
Pesa zote huwa zinapelekwa hazina. Hii ni pamoja na pesa zinazopatikana mbali na kodi kama vile pesa ya vibali vya kuchimba visima n.k.
 
Back
Top Bottom