Mpaka sasa SIMBA na YANGA

Mpaka sasa SIMBA na YANGA

Status
Not open for further replies.
tupia utabri wako hapa..atakayepatia atazawadiwa namba ya simu ya miss tz 2014-15, haya twemdee...
 
naanza mwenyewe Yanga 2-Simba 1,huku Pdidy na Amavubi watapewa ban hum jamvini kwa kutoa rugha chafu baada ya kichapo..
 
DK 90+4.........YANGA 2-0 SIMBA JAJA dk.33, MSUVA dk.75
 
Yeyote atakayepigwa sawa tu ila napenda sana mikiA wapigwe tu
TEAM Azam
 
Last edited by a moderator:
mods vp,mbona mnaunganisha uzi wangu huku wakati idea yangu na huu wa mbu*2 fc ni tofauti,kama vp bac futa ile head kbs
 
Wehu tu.... Mechi ya kawaida tu sema mpira wa bongo maneno..... Tukienda klabu bingwa full majanga
 
FT YANGA 3-0 SIMBA, Tambwe na uwino wanatuhumiwa kwa kucheza chini ya kiwango na pia wanapewa onyo kali.
 
Kama Umeweza Kutabiri Matokeo Hayo Je Umetabiri Na KIFO CHAKO PIA NI LINI? Wabongo Bana Ni FULL UPOPOMA. Mimi Simba Mwenzako LAKINI HAPA NILIPO YANAGONGA PICHU NA YANARUDI KWA MCHECHETO. Nami NATABIRI WATU WENGI SANA LEO K.U.N.Y.A Uwanjani!

Kifo changu kitakuwepo baada yamiaka 86 ijayo hutaki sikulazimishi
 
Tahadhari wakuu:yeyote atakayefungwa asilete visingizio ya refa anapendelea,mchezaji flani hakwepo n.k
 
1413624870325.jpg

Mnyama lazima akalie libolo FC
 
FT YANGA 3-0 SIMBA, Tambwe na uwino wanatuhumiwa kwa kucheza chini ya kiwango na pia wanapewa onyo kali.

...Aveva out Simba, Phiri atupiwa virago: Kibadeni na Julio waula tena, Okwi naye atoweka kiaina. Tunakwenda uwanjani ku-terminate ajira ya Aveva na Phiri, Yanga oyeeeee!
 
siri ya simba kufungwa na yanga yafaamika..wanadai mishahara ya miezi mitatu,aveva ang'aka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom