The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 457
- 693
Habari za jioni wana jf,poleni na majukumu ya kulikomboa Taifa letu pendwa Tanzania
Ni hivi juzi kati niliomba kudahiliwa vyuo vitatu UDOM MUHIMBILI NA SUA, katika awamu ya kwanza nilifanikiwa kupata nafasi SUA faculty ya Bachelor of Veterinary medicine sema sikupendezwa sana nika ona ngoja nijaribu tena bahati nikaomba tena UDOM katika awamu ya pili nikatemwa na kukata tamaa.
Sasa maajabu ktk awamu ya tatu ndo nashtuka jina limetoka tena UDOM na ninatakiwa ni confirm as soon as possible,shida inabaki je;
Nikikomfirm UDOM loan board inakuaje wanaweza kuniamishia mkopo kweli!
Yote kwa yote nilipenda sana kusoma doctor of medicine pale UDOM
Mwenye mawazo,ushauri ama uzoefu anisaidie tafadhari
Ni hivi juzi kati niliomba kudahiliwa vyuo vitatu UDOM MUHIMBILI NA SUA, katika awamu ya kwanza nilifanikiwa kupata nafasi SUA faculty ya Bachelor of Veterinary medicine sema sikupendezwa sana nika ona ngoja nijaribu tena bahati nikaomba tena UDOM katika awamu ya pili nikatemwa na kukata tamaa.
Sasa maajabu ktk awamu ya tatu ndo nashtuka jina limetoka tena UDOM na ninatakiwa ni confirm as soon as possible,shida inabaki je;
Nikikomfirm UDOM loan board inakuaje wanaweza kuniamishia mkopo kweli!
Yote kwa yote nilipenda sana kusoma doctor of medicine pale UDOM
Mwenye mawazo,ushauri ama uzoefu anisaidie tafadhari