Haijawai tokea mwenyewe kusema kama imeingia jamani.Mpaka mimi eti ndo nimuulize kama imeingia wakati yeye ndo anaweka,kama vipi wanajanvi nitaacha.
Huyu muuza duka yaani kuweka vocha anaweka mwenyewe kwenye cm yangu lakini mpaka nimuulize kama imeingia.