MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,428
😅😅
msaga sumu mkorogee mambo yetu yaleeeeeee anywe kabisa. ushujaaa hapo ni ngwala yako mchezo umeisha.
wataje usiogope wakikung'ata utapaka mavi ya kuku meno yao yaozee.Ningeandika majina ya hao member ila ngoja nikaushe tu maana mmoja wao siraha yake kubwa ni kung'ata..
😂wataje usiogope wakikung'ata utapaka mavi ya kuku meno yao yaozee.
Sent using Jamii Forums mobile app