MP fires AK-47 during Jordanian parliament session!

MP fires AK-47 during Jordanian parliament session!

Hahahaaaa wewe mzee wa Mbeya masopakyindi ngoja nikiingia bungeni 2015 halafu spika wa bunge awe ****** tutatafutana ubaya bure!

Mzee mwita maranya yani hili watu wengi wanaliongelea maana asingekuwa sugu tu watu wengi wamepania wkiingia bungeni yule ndugai au kiti wakisimamia upuuzi lile siwa lazima limtue kichwani ni afadhali ufe mbunge mmoja na sio mamilioni ya watanzania
 
Last edited by a moderator:
Hii inavyoonyesha ni jinsi gani wabongo tulivyo wajinga. Tunatumia udhaifu wa bunge la Jordan kutetea uhuni wa Sugu.

Jamii iliyoelimika haiwezi kushabikia Uhuni kama huu.
Muhuni mwenyewe ambaye buwezi kufikiri, kwani kuwa mbunge ndo watu wakufanyie vurugu tu??? wake up kwenye usingizi huo wa pono, usiye jitambua wewe
 
Back
Top Bottom