Good maamuzi ya kiume kweli kweli na ndo inatakiwa,unakuwaje na maumivu na kiungo cha mwenzio ameamua kukitumia muache atumie ila nikikukuta tu sikufanyi kitu na ndo imetoka hiyo
Hakuna na hajawahi kutokea hapa duniani! Maumivu ya kuchapiwa anayejua ni yule anayefumania! Kuna jamaa yangu mmoja alimeza jiwe kwa hasira alizokuwa nazo baada ya fumanizi hah hah hatari sanaaa
Hakuna na hajawahi kutokea hapa duniani! Maumivu ya kuchapiwa anayejua ni yule anayefumania! Kuna jamaa yangu mmoja alimeza jiwe kwa hasira alizokuwa nazo baada ya fumanizi hah hah hatari sanaaa