estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Habari zenu wanazengo....
Mimi ni Mama mwenye mtoto mmoja kwa bahati mbaya mzazi mwezangu alishafariki toka mwezi wa 6 mwaka huu, toka alivyofariki moyo wangu unaniuma na mara nyingi huwa namkumbuka nabaki kulia sana miaka kadhaa iliyopita tulitengana kila mtu alikuwa na maisha yake na mahusiano yake mapya tulikuwa atuongei ila ikafika kipindi alihitaji tupatane aliniomba sana msamaha na kweli nilimsamehe maisha yakaendelea tulikuwa tunachati, alikuwa anakuja nyumbani ila mara ya mwisho aliniomba kuwa anahitaji kuja nyumbani kujitambulisha ila nilikataa kutokana alikuwa hamuhudumii mtoto... tatizo linalonisumbua nakuwa namuwaza sana na kubaki kulia nikikumbuka matukio yote siku nilipopata taarifa kuwa amefariki, kuaga msiba sikuweza kabisa kumuangalia nabaki kuumia moyo tu
naombeni msaada nifanyaje ili niweze kumsahau Baba wa mtoto wangu
Mimi ni Mama mwenye mtoto mmoja kwa bahati mbaya mzazi mwezangu alishafariki toka mwezi wa 6 mwaka huu, toka alivyofariki moyo wangu unaniuma na mara nyingi huwa namkumbuka nabaki kulia sana miaka kadhaa iliyopita tulitengana kila mtu alikuwa na maisha yake na mahusiano yake mapya tulikuwa atuongei ila ikafika kipindi alihitaji tupatane aliniomba sana msamaha na kweli nilimsamehe maisha yakaendelea tulikuwa tunachati, alikuwa anakuja nyumbani ila mara ya mwisho aliniomba kuwa anahitaji kuja nyumbani kujitambulisha ila nilikataa kutokana alikuwa hamuhudumii mtoto... tatizo linalonisumbua nakuwa namuwaza sana na kubaki kulia nikikumbuka matukio yote siku nilipopata taarifa kuwa amefariki, kuaga msiba sikuweza kabisa kumuangalia nabaki kuumia moyo tu
naombeni msaada nifanyaje ili niweze kumsahau Baba wa mtoto wangu
