Movie hii ni kichefuchefu!!!

Movie hii ni kichefuchefu!!!

Haters.
Mtu badala ya kushauri mnaponda tu, sasa si mseme wafanyeje ili waboreshe?
 
Haters.
Mtu badala ya kushauri mnaponda tu, sasa si mseme wafanyeje ili waboreshe?

washafundishwa saana,wakati mwngine adi wapondwe ndo watabadilika,inaonesha we ndo muvi zako hizi!
 
As much as nninavopenda kutukuza vya kwetu! Bongo movies zimenishinda kabisa hiyo uliyosema sijaiona ila sidhani kama itaifikia ubaya movie moja inaitwa saradini worst movie ever!
 
Jamani kwa nini msitoe alternative solution wote mnapondea kazi za watanzania wenzenu? Kwa hali hii hatutakaa tuendelee.
 
Nawahakikishieni kuwa Bongo movie haitobadilika ikiwa sisi tunaolaumu hatutachukua hatua yoyote. Angalau katika watu wote waliochangia thread hii basi wapatikane watano tu wafanyie kazi kasoro zilizopo. Mimi naanza.
 
Ikifikia. Mtu anataka afundishwe hadi kujijua yeye ni nani,ujue ana tatizo lisilo na ufumbuzi wa haraka!ni sawa na mtu alijisaidia pembeni ya choo na kisha kuomba aonyeshwe tundu baadaye,,kwa nini wasijifunze kikamilifu kabla ya kuvamia fani hiyo?nimezipiga marufuku kwangu,huo uzungu wao wa kizaramo siutaki,waniharibie watoto wangu halafu nisiwaponde?staki kuzisikia kabisa.
 
Tatizo kila Bishoo na Sista duu anataka kutoka kupitia Muvi. Bora nikaangalie kamata mwizi men, Wasanii Bongo hawataki kujifunza na kusikiliza ushauri wa bure,,,,!!!
 
Je ulishaona hata siku msanii wa Bongo anafanya tathmini ya Kazi yake hadharani na kuomba Ushauri wa wapi arekebishe na wapi aboreshe, Watu hawapondi ila wanazungumzia ukweli juu ya kazi za wasanii wetu,
Jamani kwa nini msitoe alternative solution wote mnapondea kazi za watanzania wenzenu? Kwa hali hii hatutakaa tuendelee.
 
hata mimi jamani sifagirii movie hizi za kibongo, nikiangalia tu lazima nisinzie!! na hasa mi-part II yao!
 
Hii muvi inaitwa CID,ni ya kibongo yani inakatisha sana tamaa hvi inamaana hua hawa jamaa hawaangalii kazi za wenzao wa nje? hadi nikaona aibu kwa maana wenzetu wa nchi zingine wakiona watatudharau sana,kwasababu kuna action zingine hata mtoto humdanganyi alafu hata continuety ni hovyo ingawa kabla haijatoka waliisifia nadhani ni kwakua kuna matumiz ya siraha ambazo walikua wanaonekana wanapigapiga kama ile michezo ya watoto na pisto za maji!! jifunzeni kwa kuangalia kaz za WENZENU WA NJE KAMA AMUWEZ ENDELEENI NA MUVI ZENU ZA MAPENZI!!!

Hiyo business ipo kwa ajili ya kutangaza biashara hasa2 kwa wasichana na wanaume nao wanapata mademu kiurahisi
mitaani lakini si kwa ajili ya burudani wala mafunzo! yaani ni usanii hasa !!
 
Hii muvi inaitwa CID,ni ya kibongo yani inakatisha sana tamaa hvi inamaana hua hawa jamaa hawaangalii kazi za wenzao wa nje? hadi nikaona aibu kwa maana wenzetu wa nchi zingine wakiona watatudharau sana,kwasababu kuna action zingine hata mtoto humdanganyi alafu hata continuety ni hovyo ingawa kabla haijatoka waliisifia nadhani ni kwakua kuna matumiz ya siraha ambazo walikua wanaonekana wanapigapiga kama ile michezo ya watoto na pisto za maji!! jifunzeni kwa kuangalia kaz za WENZENU WA NJE KAMA AMUWEZ ENDELEENI NA MUVI ZENU ZA MAPENZI!!!

Na siku ukipata bahati ya kuona filamu nzuri ya Kibongo uje kutuambia pia...
Pia, angalau maoni yako kwa filamu yachambue kwa kina kwa kutueleza sehemu zipi wamefanikiwa na sehemu zipi wamechemsha, kuliko kuponda tu! Tuone na sisi tuna jukumu la kuwasaidia kufanya kazi nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom