motorolla wazindua moto x

motorolla wazindua moto x

mkuu umeiona red rice ya xiaomi? sema wale jamaa hawatengenezi simu za gsm ila quadcore 130usd kwa manufacture ambaye ni trusted

Hii Hongmi(Red Rice) ina support GSM, kwa bei ya 130$ unapata 4.7" with 720p, 312ppi na gorilla glass 2, 4GB storage with card slot up to 32GB, 8MP camera hapa Xiaomi wamepiga bao, kuliko mtu kukimbilia Tecno bora anunue hii,

Back to Moto
Motorola wamejitahidi kurudi kivingine, tulizoea kuona exclusive moto device zmetengenezwa kwaajili ya Verizon mpaka hivi karibuni Droid Utra, Droid Mini na Droid Maxx zote ni kwaajili ya Verizon, pia google wametenga pesa kwaajili ya kuitangaza Moto X, they say Moto X inauwezo wa kutambua kua sasa iko mfukoni ama iko mkononi au iko katika Gari linalo tembea.

Sasa soko la Smartphone limehamia katika Software base, miaka kadhaa nyuma tulikua tunakimbilia simu zenye features kubwa kwa kuangalia ukubwa wa kioo,processor,RAM, Storage, Camera na vitu vingine lakini sasa soko ama ushindani umehamia katika Software based, Mfano Samsung anazindua simu mpya lakini tifauti na flagship ya zamani ni almost none, kikubwa kinacho badilika ni new features tu mfano Air Gesture, Eye scrolling na vinginginevyo, vile vele kwa HTC, LG, Sony na sasa Motorola.
Smartphone Game has changed
 
Hii Hongmi(Red Rice) ina support GSM, kwa bei ya 130$ unapata 4.7" with 720p, 312ppi na gorilla glass 2, 4GB storage with card slot up to 32GB, 8MP camera hapa Xiaomi wamepiga bao, kuliko mtu kukimbilia Tecno bora anunue hii,

Back to Moto
Motorola wamejitahidi kurudi kivingine, tulizoea kuona exclusive moto device zmetengenezwa kwaajili ya Verizon mpaka hivi karibuni Droid Utra, Droid Mini na Droid Maxx zote ni kwaajili ya Verizon, pia google wametenga pesa kwaajili ya kuitangaza Moto X, they say Moto X inauwezo wa kutambua kua sasa iko mfukoni ama iko mkononi au iko katika Gari linalo tembea.

Sasa soko la Smartphone limehamia katika Software base, miaka kadhaa nyuma tulikua tunakimbilia simu zenye features kubwa kwa kuangalia ukubwa wa kioo,processor,RAM, Storage, Camera na vitu vingine lakini sasa soko ama ushindani umehamia katika Software based, Mfano Samsung anazindua simu mpya lakini tifauti na flagship ya zamani ni almost none, kikubwa kinacho badilika ni new features tu mfano Air Gesture, Eye scrolling na vinginginevyo, vile vele kwa HTC, LG, Sony na sasa Motorola.
Smartphone Game has changed

mkuu lg amechange sana na ana inovation nyingi possible akatoa flexible display kabla ya samsung na hata mauzo kawa wa 3 anajitengenezea nafasi yake.

kazi ipo kwa hawa wawili htc na sony, htc kila analyst anapredict quarter hii mauzo mabaya htc one imeshindwa kuwasave, even ceo wao ameconfirm. ametoka top 5 ya smartphone

sony nae kapata faida ila nae katoka top 5 kauza simu mln 9, lenovo, zte na huawei sasa ndo wanakuja juu
 
Ok glass imekuwa ok google now! Hiyo ndiyo niliyoipenda kwakweli
 
Motorola ndiyo simu zangu tokea kipindi kile cha L7, mpaka sasa naitafuta motorola XT610 ila bado sijaipata

Uko kama mimi mkuu toka c118, c139, L6 na L7 ingawa baadaye niliingia windows mobile ya Qtek na Htc lakini bado nina L7 yangu toka 2007 motorola nawafagilia tena hiyo kitu basi tu.
 
mkuu umeiona red rice ya xiaomi? sema wale jamaa hawatengenezi simu za gsm ila quadcore 130usd kwa manufacture ambaye ni trusted

Nadhani kwa internationa pricing Faea F1 ndio cheap ina snapdragon s4 na inauzwa 160-170 usd, red rice hiyo bei ni ya China kwa international itakuwa zaidi
 
Nadhani kwa internationa pricing Faea F1 ndio cheap ina snapdragon s4 na inauzwa 160-170 usd, red rice hiyo bei ni ya China kwa international itakuwa zaidi

mkuu mi niliitaja sababu ya brandname xiaomi ni kama unasema htc, huawei, zte ni kampuni kubwa sana yenye mapato 2bn kwa quarter.

na hawa jamaa hua bidhaa zao hazikai dukani wao wanapenda tu kuvunja rekodi ya dunia wanauza simu zao zote ndani ya dakika. kama sjakosea last time waliuza simu 200,000 ndani ya nusu saa.

kama unataka mchina rahisi ipo mingi sana.
 
Hivi wanashindwa nini kuuza bei ndogo ili kushindana na mchina?ukizingatia zote zinatengenezwa hukohuko
 
Hivi wanashindwa nini kuuza bei ndogo ili kushindana na mchina?ukizingatia zote zinatengenezwa hukohuko

mkuu material tofauti we hujiulizi why ukidondosha mchina kidogo tu screen inapasuka lla original haipasuki? pia processor original wanatumia qualcom au tegra na wachache intel wakati mchina yeye ni mediatek tu.
kuna vitu kama gorilla screen, internet ya 4g, lens za camera nzuri, storage kubwa ni vigumu kuvikuta kwenye mchina
 
mkuu material tofauti we hujiulizi why ukidondosha mchina kidogo tu screen inapasuka lla original haipasuki? pia processor original wanatumia qualcom au tegra na wachache intel wakati mchina yeye ni mediatek tu.
kuna vitu kama gorilla screen, internet ya 4g, lens za camera nzuri, storage kubwa ni vigumu kuvikuta kwenye mchina

Samsung has the worst screen, tusiwasingizie tu wachina. Pamoja na gorilla glass screen za samsung ziko very fragile. Kwa hili nawasifu tu iphone na oppo. Alafu siyo mchina zote wanatumia mediatek japo ni nyingi hilo najua umepitiwa kwakuwa unajua za qualcom zipo nyingi tu mi naona ni ushindani na after sale support sababu Jiayu wanasifika kwa quality lakini price zao bado ni chini ya nyingine
 
Uko kama mimi mkuu toka c118, c139, L6 na L7 ingawa baadaye niliingia windows mobile ya Qtek na Htc lakini bado nina L7 yangu toka 2007 motorola nawafagilia tena hiyo kitu basi tu.

Mkuu bado unayo L7, ya kwangu waliniibia ikiwa bado mpya.
 
Samsung has the worst screen, tusiwasingizie tu wachina. Pamoja na gorilla glass screen za samsung ziko very fragile. Kwa hili nawasifu tu iphone na oppo. Alafu siyo mchina zote wanatumia mediatek japo ni nyingi hilo najua umepitiwa kwakuwa unajua za qualcom zipo nyingi tu mi naona ni ushindani na after sale support sababu Jiayu wanasifika kwa quality lakini price zao bado ni chini ya nyingine

mkuu wapi nimesema samsung ana screen nzuri? screen za samsung zipo washed zina pixel nyingi lakini subpixel chache. kuhusu quality kaka gorila haidanganyi kama simu ina gorila ni gorila bila hata kuangalia manufacture kama ulinunua simu isiyokua nayo then ujinga utalipa.

kuhusu quality ya apple na oppo yap zina quality ila sio top quality tumeshaliongea sana hapa nilishacompare sana hio iphone both quality na ugumu na ishashindwa sana.

kuhusu hizo processor na vitu vyengine refer swali la jamaa why mchina anakua bei rahisi kuliko original then mjibu wewe
 
Back
Top Bottom