ANDENDEKISYE C
Member
- Mar 5, 2012
- 90
- 23
Kuna taarifa kwamba moto mkubwa umezuka muda huu mabibo hostel.
Mwenye ndugu pale,au jamaa aulize na atupe undani zaidi
====================
Taarifa zlizotufikia hivi punde ni kuwa moto mkubwa umezuka katika Jengo B lililopo ndani ya Mabibo Hostel zinazomilikiwa na kuendeshwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Shuhuda aliyekuwa eneo la tukio ametujuza kuwa Askari wa Zimamoto wamechelewa kufika na athari zilishaanza kuwa kubwa, jitihada za kuuzima moto huo zinaendelea.
Mtu mmoja ameumia kutokana na kuruka kutoka ghorofani.
Chanzo bado hakijafahamika!
Mwenye ndugu pale,au jamaa aulize na atupe undani zaidi
====================
Taarifa zlizotufikia hivi punde ni kuwa moto mkubwa umezuka katika Jengo B lililopo ndani ya Mabibo Hostel zinazomilikiwa na kuendeshwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Shuhuda aliyekuwa eneo la tukio ametujuza kuwa Askari wa Zimamoto wamechelewa kufika na athari zilishaanza kuwa kubwa, jitihada za kuuzima moto huo zinaendelea.
Mtu mmoja ameumia kutokana na kuruka kutoka ghorofani.
Kutoka Mabibo Hostel DSM.
Kwa taarifa ambazo zimetufikia muda huu zinadai kuwa Bweni la Wanawake Mabibo Hosteli jijini Dar es Salaam linaungua moto muda huu, bado sababu na chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, waandishi wetu wanaelekea sehemu ya tukio kuthibitisha hili na watatufahamisha zaidi nasi tutakufahamisha.
Chanzo: ITV
Chanzo bado hakijafahamika!