Moto wazuka Hosteli za Mabibo

Moto wazuka Hosteli za Mabibo

Joined
Mar 5, 2012
Posts
90
Reaction score
23
Kuna taarifa kwamba moto mkubwa umezuka muda huu mabibo hostel.

Mwenye ndugu pale,au jamaa aulize na atupe undani zaidi
====================

Taarifa zlizotufikia hivi punde ni kuwa moto mkubwa umezuka katika Jengo B lililopo ndani ya Mabibo Hostel zinazomilikiwa na kuendeshwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Shuhuda aliyekuwa eneo la tukio ametujuza kuwa Askari wa Zimamoto wamechelewa kufika na athari zilishaanza kuwa kubwa, jitihada za kuuzima moto huo zinaendelea.

Mtu mmoja ameumia kutokana na kuruka kutoka ghorofani.


Kutoka Mabibo Hostel DSM.

Kwa taarifa ambazo zimetufikia muda huu zinadai kuwa Bweni la Wanawake Mabibo Hosteli jijini Dar es Salaam linaungua moto muda huu, bado sababu na chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, waandishi wetu wanaelekea sehemu ya tukio kuthibitisha hili na watatufahamisha zaidi nasi tutakufahamisha.

Chanzo:
ITV
attachment.php

attachment.php

Chanzo bado hakijafahamika!
 

Attachments

  • mabibo.jpg
    mabibo.jpg
    20.6 KB · Views: 2,319
  • mabibo1.JPG
    mabibo1.JPG
    59 KB · Views: 6,473
  • mabibo2.JPG
    mabibo2.JPG
    85 KB · Views: 6,345
Kweli moja kati ya bweni inaungua na fire haijafika
 
Mabibo hostel inasemekana kuna moto eneo hilo hostel zimeshika moto. mwenye taarifa zaidi atujuze.
 

Attachments

  • 1426490177863.jpg
    1426490177863.jpg
    59.5 KB · Views: 1,751
Kutoka Mabibo Hostel DSM.

Kwa taarifa ambazo zimetufikia muda huu zinadai kuwa Bweni la wasichana mabibo hosteli jijini Dar es Salaam linaungua moto muda huu, bado sababu na chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, waandishi wetu wanaelekea sehemu ya tukio kuthibitisha hili na watatufahamisha zaidi nasi tutakufahamisha.

Chanzo:
ITV
 
hivi hapo hakuna fire extinguisher waanze kuzima hao vijana wenyewe kabla ya hao zimamoto kufika baada ya masaa mawili
 
Moto mkubwa unawaka ktk hostel za mabibo mda huu,
Inasemekana chanzo cha moto huo ni mwanafunzi aliyekua anapika na kusahau kuzima jiko
 

Attachments

  • 1426492166049.jpg
    1426492166049.jpg
    64 KB · Views: 818
Duu, oooh, poleni, Vyombo vya uokozi vifike mapema kutoa huduma hiyo ya uzimaji haraka, kwa waliopita UD watakubaliana hizo hostel ni okozi kwa shida ya makazi kwa wanafunzi, Poleni wahanga!
 
Poleni sana waliofikwa na tatizo hilo...zima moto wakifika hapo watakuwa hawana maji
 
Nimesikia tetesi ambazo hazijathibitishwa kuwa kuna bweni mabibo hostel linalotumiwa na wanafunzi wa UDSM limeungua. Walio katika eneo la tukio mtujuze. Nawasilisha.
 
hayo ndo matokeo ya mitaala mibovu ya elimu ya bongo haizalishi heroes jengo linaungua afu vijana wameshika viuno wanaangalia kama muvi ya anold
 
Back
Top Bottom