Walisema CHADEMA imekufa bado kuzikwa tu (Simiyu yetu & Msalani, 2014), wengine wakasema ni chama cha msimu (Kikwete, 2010) na wengine wakasema CDM haitamaliza mwaka 2013 (Wasira, 2012), hao wanachama wanaoandamana wanatoka wapi? nani anawalazimisha kuandamana? au ni wanaccm? na je, kama wakiwaacha waandamane na wafanye mikutano yao itawaathiri nini serikali maana Bunge lao la katiba linaendelea na Katiba wanatengeneza wao kuna tatizo gani wakiwapuuza? Mimi nauliza tu...