Kuna jamaa anasema yeye ni swala tano tena ni yule muislam wa suruali fupi.,
Kimuonekano Apostle hata kwà kumuangalia tu, ni ana bonge la sigida usoni.
Anasema "Hakuna namna unaweza kumkwepa Yesu".
Ujue nacheka nini....Hii kitu ni Maajabu kabisa Apostle!!!!
Hakika Arise And Shine ni ya watu wa DINI ZOTE
Sent from my Redmi 8A using
JamiiForums mobile app