Moto umewaka…!

Nini kimetokea
Kuna jamaa anasema yeye ni swala tano tena ni yule muislam wa suruali fupi.,

Kimuonekano Apostle hata kwà kumuangalia tu, ni ana bonge la sigida usoni.


Anasema "Hakuna namna unaweza kumkwepa Yesu".


Ujue nacheka nini....Hii kitu ni Maajabu kabisa Apostle!!!!

Hakika Arise And Shine ni ya watu wa DINI ZOTE

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
maji ya upako ya Mwamposa yatauzwa laki ngapi siku iyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…