wanatia hasira sana mkuu wanatunderstimate sana sisi wazawa yatupasa kusimama kwenye hili..Ndio maana mimi waliishanihitaji mara mbili sikukubali maujinga yao. First time tulikubaliana gross USD3+++ lakini nilipoenda kuliport nikakuta wameandika appointment letter ya TSh3++++ nikaona huu ni upuuzi nikatemana nao. Second time tukakubaliana Gross USD4+++ na ilipofikia salary wakabadili net ikawa Gross siku hiyo hiyo nikaondoka Juzi boss wao anapiga simu eti anataka tukakae tukubaliane na sasa sitakli kazi zao tena, bora niende kulima mpunga wangu iringa nikivuna napata jasho langu.
Ndio maana mimi waliishanihitaji mara mbili sikukubali maujinga yao. First time tulikubaliana gross USD3+++ lakini nilipoenda kuliport nikakuta wameandika appointment letter ya TSh3++++ nikaona huu ni upuuzi nikatemana nao. Second time tukakubaliana Gross USD4+++ na ilipofikia salary wakabadili net ikawa Gross siku hiyo hiyo nikaondoka Juzi boss wao anapiga simu eti anataka tukakae tukubaliane na sasa sitakli kazi zao tena, bora niende kulima mpunga wangu iringa nikivuna napata jasho langu.
Ndio maana mimi waliishanihitaji mara mbili sikukubali maujinga yao. First time tulikubaliana gross USD3+++ lakini nilipoenda kuliport nikakuta wameandika appointment letter ya TSh3++++ nikaona huu ni upuuzi nikatemana nao. Second time tukakubaliana Gross USD4+++ na ilipofikia salary wakabadili net ikawa Gross siku hiyo hiyo nikaondoka Juzi boss wao anapiga simu eti anataka tukakae tukubaliane na sasa sitakli kazi zao tena, bora niende kulima mpunga wangu iringa nikivuna napata jasho langu.
Steve... why not the head of state aliyeahidi atafanya makubwa tena kwa kuanzia kwenye madini in 2005
Umesahau ahadi na vile vikao vya mwanzo?
Blame it on Ambassador Bomani and his fruitless committee!!
Tatizo kubwa lililoko huko ni utititli wa watu wanaodhani migodini kunalipa sana......... Kimsingi kunaonekana kunalipa kwa vile kula la saba (LY) wengi mno ambao wanalipwa sawa na wenye madigfrii yao tena wengine wanwazidi wenye digrii........... Sasa hao wa la saba shughuri yao kubwa ni kutangaza mitaani jinsi anavyomzidi mshahara graduate...............Geita Gold Mine na Nzega Resolute ndio hakufai kabisaaa, wazawa wanazalilishwa, wananyanyasika, wanafukuzwa na hata kutandikwa makofi ni mfanyakazi mmoja tuu tena binti aliye thubutu kwenda mahakani na akaweza kuisimamia kesi yake adi kikaeleweka