Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,725
- 2,541
Kila mtu ana uhuru wa kuelezea jambo lake jukwaani. Anamharibiaje akipost uzi km huu?Sababu analenga kumharibia Lucas Mwashambwa
Kila mtu ana uhuru wa kuelezea jambo lake jukwaani. Anamharibiaje akipost uzi km huu?Sababu analenga kumharibia Lucas Mwashambwa
NajuaHuyu sio yule mbubujikwa machozi...
Hamna user name inayofanana na hii hapa jf. Kumbuka hii ya kwangu ni fake lakini ya Lucas Mwashambwa ni jina lake kamili na alishajitambulisha kuwa ni jina lake kabisaMbona wewe inafanana na chama na hakuna anae lalamika
We jamaa nikikuita mjinga ntakuwa nakosea?Sababu analenga kumharibia Lucas Mwashambwa
we umejuaje hilo jina la jamaa sio la kwake halisi?Hamna user name inayofanana na hii hapa jf. Kumbuka hii ya kwangu ni fake lakini ya Lucas Mwashambwa ni jina lake kamili na alishajitambulisha kuwa ni jina lake kabisa
Kwani kinacho kuuma ni nini???Hamna user name inayofanana na hii hapa jf. Kumbuka hii ya kwangu ni fake lakini ya Lucas Mwashambwa ni jina lake kamili na alishajitambulisha kuwa ni jina lake kabisa
Hayo ni maoni yangu, nothing personalWe jamaa nikikuita mjinga ntakuwa nakosea?
Unachanganyikiwa vipi na mambo madogo kama haya!! Huyu ni Lucas mwashamba Og, na siyo yule Ponjoro wa Kisafwa Lucas Mwashambwa.Moderator tunaomba hii account ifungiwe maana inatuchanganya inafanana na ya Lucas Mwashambwa
Lakini hata mwenye jina kalalamika.Kwani kinacho kuuma ni nini???
Ukiambiwa thibitisha ilo jina ni lake unaushaidi???
Harafu mbona hii sio big deal kiivo kwa kweli napongeza sana hili parody lina upiga mwingi
unakoseaHayo ni maoni yangu, nothing personal
Mbona majina tofauti kabisa mkuuModerator tunaomba hii account ifungiwe maana inatuchanganya inafanana na ya Lucas Mwashambwa
Sawa mkuu basi ngoja kila mtu awe na uhuru wake ili wapambane vizuri.unakosea
Sema huyu jamaa kamkamata pabaya chawa wa mamaunakosea
Iachwe isaidie ku dilute pumba za OGifungwe kwasababu gani?
😃😃Sema huyu jamaa kamkamata pabaya chawa wa mama
Si ndio 🤣Iachwe isaidie ku dilute pumba za OG
Sababu analenga kumharibia Lucas Mwashambwa