ZUBERI MAKUMULI
Member
- Oct 18, 2016
- 10
- 2
Nakumbuka ya Hadof
Pia unijibu kama bado ni muongoAcha uongooo! BBC gani?
Kaz kweli kweliAisee huyo kashapotea poleni sana.
Kuna wanaojifunga mabobu ili kua wenzao, wanasali mara 1825/mwaka.
Wanabadili ratiba ya kula wakidai wamefunga, tungi hawalambi....yaani ni tabu tupu.
Weka mbali hao waliojitolea kuwa vibaraka wa wachungaji.
Kumbe ni kama inavyotokea marekani??Mpaka sasa hakuna aliepoteza maisha . Wana sema huu ni msimu kiangazi huwa ni kawaida kuwa na moto unaotapakaa maana kitu kama sigara kinaweza kusababisha moto. Na pia kuna upepo mkali moto unasafiri kwa spidi na ni vigumu ku "control".
Police wamesema kuna baadhi ya moto umewashwa kimakusudi na bado hawajui motivation yao ilikuwa nini .
Unachanzo soma humu kuna jamaa kapostMoto huo hauna chanzo sio?
Wahuni kama huyo jamaa yao wa kujitungia.Kaz kweli kweli
Sasa kwa mfano hii.habar ukisoma.kabisa inaboa
Mtu.badala ya kueleza habar,chanzo cha moto nk
Anaanza mambo ya ajabu ajabu
Akili za hawa jamaa n dk2 mbele
Mola aliangamizi jamii ovu, jamii zinamfuata shetan na kuacha hukmu na sheria za mola mlezi, Kuanzia zama za Nuhu, Lutu, Farao na jeshi lake, wapo walioangamizwa kwa upepo,lakin kwa zama hzi Allah ameahid kuwaadhibu kidogkidogo hapa duniani na akhera ndo namba itasomeka, vyombo vya magharibi havitangazi habar zinazoonesha uwepo wa Allah na azabu anazowapa ambazo zinaadhiria uwepo wake,..Kule Burma wakat wanaendesha mauaji na ubomoaji wa miskiti ghafla kumetokea mvua ya ajabu, mafuriko yanabeba na kuua mpka zaid ya mauaji wanayoyaendesha, wakat Mashetan wakimarekani walipofanya uvamiz na kuamua kuwaweka Mashetan wenzao na kuwapa jina kua ni wana Waisrael baada ua vita kuu ya pili, leo hii wanakataza adhana, wakat shetan akisikia adhana anakimbia mbali, sasa zimepiga radi za ajabu kila kona ni moto tu, wasitangaze tu lakin habar ndo hzo, Allah hachezewi na wewe unaesema Mungu wa kweli hafanyi hvyo, jiulize Kaumu Lutu,Nuhu walifanywa hvyo na nani, tumrudien Mungu wapendwa kabla hatujalia na kusaga meno, kwa Mungu hakuna theory wala Law,
Sisi wa Tanzania tuna matatizoWahuni kama huyo jamaa yao wa kujitungia.
Pamoja na Australia bush fires.Kumbe ni kama inavyotokea marekani??
ISRAEL INAUNGUA
MOTO MKUBWA umewaka kwenye ardhi ya Israel maeneo walio nyan'ganya wa Palestina na unaunguza vituo vya Jeshi la ki israel
mpaka sasa wameshikwa na khofu kubwa sana na wanaomba msaada kwa TURKEY, ITALY, Greece na Qabras na inchi za Uropa.
Allah Anatuonyesha miujiza yake
Hivi juzi waliwakataza waislamu wa alquds kuadhini
Na sasa wanaunguzwa na Allah na miujiza yake
ISRAEL ON FIRE: For 10s of years Israelis have been burning Palestinian homes with Bombs and making settlement on them now Allah has sent his own unseen soldiers to burn the Israeli settlement in Palestinian occupied territory down starting with the military camp that has been totally burnt to ashes..
View attachment 439067 View attachment 439068
View attachment 439069 View attachment 439070 View attachment 439071 View attachment 439072 View attachment 439073 View attachment 439067 View attachment 439068 View attachment 439069 View attachment 439070 View attachment 439071 View attachment 439072 View attachment 439073
Ni Roho Mbaya tu Ndugu yangu. Wao wanadai ni Allah ndo anafanya malipizi juu ya Israel.Acha roho mbaya .
Wamekufanya nini wewe mburura. ?
Kwanza kabisa wala hata hawahitaji msaada wako. Peleka pumba huko.
Kuna watu maisha yao ni ya kuibia ibia tu, Shuleni walipita kwa kuibia, mitaani wanaishi kwa kuibia, serikalini wanaiba......haishangazi kuona hawataki kujituma kutafuta habari hadi watafuniwe, hawawezi kutafuta kutoka vyanzo vingine.Sisi wa Tanzania tuna matatizo
Sijui ni sabb ya elimu yetu ya kukariri
Mtu una miliki smart phone unashindwa kwenda google kuandika Israel ukapata taarifa kama kweli au laa
Au ukaenda page ya CNN ,BBC nk
Tubadilikeni ,Mara nyingi watu wa aina hii wanalishwa matango pori
Mkuu nami naskiaga tu,na leo nashangaa Mungu kaliachaje taifa lake pekee liungue??Nani aliyejwambia Israel taifa la Mungu? Unaweza kuja na ushahidi wa hiyo kauli?
ISRAEL INAUNGUA
MOTO MKUBWA umewaka kwenye ardhi ya Israel maeneo walio nyan'ganya wa Palestina na unaunguza vituo vya Jeshi la ki israel
mpaka sasa wameshikwa na khofu kubwa sana na wanaomba msaada kwa TURKEY, ITALY, Greece na Qabras na inchi za Uropa.
Allah Anatuonyesha miujiza yake
Hivi juzi waliwakataza waislamu wa alquds kuadhini
Na sasa wanaunguzwa na Allah na miujiza yake
ISRAEL ON FIRE: For 10s of years Israelis have been burning Palestinian homes with Bombs and making settlement on them now Allah has sent his own unseen soldiers to burn the Israeli settlement in Palestinian occupied territory down starting with the military camp that has been totally burnt to ashes..
View attachment 439067 View attachment 439068
View attachment 439069 View attachment 439070 View attachment 439071 View attachment 439072 View attachment 439073 View attachment 439067 View attachment 439068 View attachment 439069 View attachment 439070 View attachment 439071 View attachment 439072 View attachment 439073
Na shangaa kuona watu wanashabikia maafa.Ni Roho Mbaya tu Ndugu yangu. Wao wanadai ni Allah ndo anafanya malipizi juu ya Israel.