Moto mabibo hostel

Moto mabibo hostel

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,270
Reaction score
829,301
1426508996166.jpg 1426509022086.jpg 1426509052765.jpg
 
Nakumbuka enzi zangu shuleni,tuliunguza shule bila kutegemea kwa tabia ya kuchemsha maji kwa vijiko badala ya electric heaters hadi leo ni siri yetu.
 
Hivi maeneo ya Mabibo na Ubungo kuna zimamoto, au wanasubiri wafike wale wa kutoka Upanga?
 
Umedhibitiwa tayari 1426514961408.jpg chanzo ambacho hakijathibitishwa kinasema ni shoti ya umeme
 
Nakumbuka enzi zangu shuleni,tuliunguza shule bila kutegemea kwa tabia ya kuchemsha maji kwa vijiko badala ya electric heaters hadi leo ni siri yetu.

Mimi najua kuwa mlikuwa mnachemsha maji kwa vijiko! Nimejuaje?
 
Back
Top Bottom