Mossad na jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu, Golda Meir ndani ya Rome

hao BLACK SEPTEMBER na PLO mbona siku hizi hawafanyi matukio au wote wameuwawa...

makundi hatari yanayosikika ni alshabab, boko haram, IS nayo yamejikita ktk ugaidi na sio ujasusi...
 
Huwa napenda sana kusoma
Mambo kama haya mkuu hakuna
nyingine ushushe tena
Pitia youtube ukiwa na bundle la kutosha utazame mambo ya ajabu juu ya uzalendo wa watu kwa nchi zao. Uzalendo wako utaongezeka maradufu kwa nchi yako mkuu!
 
ntarudi baadae.......
 
Hvi hawa israel wanawezaje kusurvive hapo middle east kama kila jirani yao ni adui yao?
waisrael watakuwa wana-apply nadharia iliyomo ktk the law of the jungle:

"when ye fight with a wolf of the pack, ye must fight him alone and afar,
Lest others take part in the quarrel, and the Pack be diminished by war".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…