Ujue nilitaka kusema ulete kikojoleo chako ujipimie lakini nilisahahu kuwa hakina ladha a.k.a ladhalessunajisumbua bure
Pole kwa kuwa na umbile dogo kama tofali
Me sio tatizo mbona wanawake wote walalamike?
unamatatzo kama sio kuathirika kisaikorojia.
Kwahyo kuweka asali,ndimu,sukari,kufukisha moshi wa ganja huko ndio kuwa na akili timamu?.
Kuanza kubanjuliwa mapema kumewafanya maumbile yenu yawe makubwa mpaka mnapoteza ladha mnafikia kuchanganyikiwa mpaka kujiweka mitakataka kwenye uchi.
Hivi hamjulizi kwann mpaka mwanaume anaamuakukuingilia kinyume na maumbile?
Yaan nyuchi zmekosa ladha inafikia kuona bora uchimbue chemba.
Kuna wanawake hapo hawakumbuki mpaka idadi ya wanaume waliowagonga. Bwawa si bwawa,wengne kukavu yaan sijui mitakataka gani.
Ngoja wenye akili zao waendelee kuwaibia hela kwasababu tayar mmesharibu nyuchi zenu sasa mnahangaika kuzirudisha kama zaman na ubaya ni kuwa haiwezekan.
Hebu nipe uhusiano wa ujinga na ukosefu mzuri wa ukuaji wa maumbile ya kiume, tafadhali.
hakuna kitu mle mle Tu bamia
Tuongeeni facts, kuvuta bangi ni ule moshi. sasa moshi huo naupelekaje kwenye maku, mbona hivi? nilishawahi kuja hapa na uzi nikiongelea kitchen party za Bongo zinavyopelekea ndoa nyingi kuporomoka. Wengi waliona mimi mshamba.
Inakuwaje watu hawazai? Mungu nisaidie nisikwaza mtu humu ila tujiulize sana nini chanzo? Most of them wamelaaniwa kwa mambo waliyofanya huko nyuma nyie mnapeleka hela kwa dk mwaka aendelee kununua mavogue.
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu
vitu kama sukari asali mchaichai nk.
Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.
Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama mc maarufu hata kwenye matv yupo siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.
Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.
Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
unamatatzo kama sio kuathirika kisaikorojia.
Kwahyo kuweka asali,ndimu,sukari,kufukisha moshi wa ganja huko ndio kuwa na akili timamu?.
Kuanza kubanjuliwa mapema kumewafanya maumbile yenu yawe makubwa mpaka mnapoteza ladha mnafikia kuchanganyikiwa mpaka kujiweka mitakataka kwenye uchi.
Hivi hamjulizi kwann mpaka mwanaume anaamuakukuingilia kinyume na maumbile?
Yaan nyuchi zmekosa ladha inafikia kuona bora uchimbue chemba.
Kuna wanawake hapo hawakumbuki mpaka idadi ya wanaume waliowagonga. Bwawa si bwawa,wengne kukavu yaan sijui mitakataka gani.
Ngoja wenye akili zao waendelee kuwaibia hela kwasababu tayar mmesharibu nyuchi zenu sasa mnahangaika kuzirudisha kama zaman na ubaya ni kuwa haiwezekan.
nikate tamaa kisa uume mfupi?Huyu keshakata tamaa kabisa na maisha.
Acha kukufuru!
Mama zetu waliolewa wakiwa wana miaka mingapi?
Una maana mtu akibanjuliwa mapema anatanuka kwa hiyo inapasa anajisiwe?
Je misuli ya mnduku ikitanuka vibamia watatafuta chupa za soda zizisotanuka??
Kibamia ni janga la kidunia kama ilivo mabadiliko ya hali hewa.
Dokta mwaka aje na dawa ya kuwasaidia wanaume wa siku hizi.
Vidushe vinukta alafu wanalalamika mabwawa.
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.
Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.
Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.
Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.
Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
hivyo unawajumuisha na kaka zako, wadogo zako, wajomba zako, pamoja na baba yako? au hao umewaexclude? nao si wanaume wa siku hizi, au?ina maana dingi yako naye ana kinukta...hahaha.Dokta mwaka aje na dawa ya kuwasaidia wanaume wa siku hizi.
Vidushe vinukta alafu wanalalamika mabwawa.