Wanabodi,
Mleta sredi ametoa changamoto nzuri ingawa ametia chumvi zaidi. Moshi is a "sleepy" town, hakuna activity nyingi pale mjini kati nyakati za usiku. By saa mbili usiku mjini kati hakuna watu pale, wamekwenda Machame, Kibosho, Rau, Njoro, au Pasua na watarudi asubuhi. Taa usiku utamwashia nani? Just sayin'!!.
By the way niwape high five MMC kwa kazi nzuri pale Uhuru Park. Nadhani Moshi inakuwa mji pekee wenye proper and well maintained public park. Ndio bado kazi inahitajika lakini they deserve a clap for that.