figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,697
- 59,202
Daladala katika Manispaa ya Moshi Kilimanjaro, zimegoma zikitaka SUMATRA kuondoa bajaji kwenye barabara wanazotumia.
Daladala katika Manispaa ya Moshi Kilimanjaro, zimegoma zikitaka SUMATRA kuondoa bajaji kwenye barabara wanazotumia.
Bajaji inaenda kwa tyres tatu na daladala inaenda kwa tyres 4
PoaBajaji inaenda kwa tyres tatu na daladala inaenda kwa tyres 4
kweli mkuu, uwa inaniuma sana io mia sitaWalete tu, kutoka ushirika wa neema eti unatumia mia sita hadi mjini,
Kachukue uendeshe mwenyewe c unapenda hela mangiWagome tu. Lakini jioni nataka hesabu yangu 40000