Mosha ajipanga Moshi Mjini

Mosha ajipanga Moshi Mjini

Lengeri

Senior Member
Joined
Jul 3, 2009
Posts
180
Reaction score
18
Bilionea Davies Mosha anajipanga vilivyo kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CCM. Mosha ni mzaliwa na kukulia kata ya Kiborloni, Jimbo la Moshi Mjini na kata ya Kiborlon vimekuwa ngome ya CHADEMA chini ya mzee Ndesamburo maarufu kama Ndesapesa kwa muda mrefu lakini bilionea Mosha anaamini kwa ukwasi wake anaweza kulitwaa na kutinga bungeni.

Mzee Ndesa ameshatangaza kutogombea tena.

Lengeri.
 
Hii nadharia ya kuamini ukiwa na fedha basi ubunge unauweza au ukiwa msanii basi ubunge ni wako imekolea Tanzania.
 
Moshi wanavyowababaikia wenye pesa huyu Mosha akigombea ubunge atashinda.
 
Kwahiyo moshi ili ushinde kwanza uwe na pesa?
 
Bilionea Davies Mosha anajipanga vilivyo kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CCM. Mosha ni mzaliwa na kukulia kata ya Kiborloni, Jimbo la Moshi Mjini na kata ya Kiborlon vimekuwa ngome ya CHADEMA chini ya mzee Ndesamburo maarufu kama Ndesapesa kwa muda mrefu lakini bilionea Mosha anaamini kwa ukwasi wake anaweza kulitwaa na kutinga bungeni.

Mzee Ndesa ameshatangaza kutogombea tena.

Lengeri.

Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa huyo mosha ataupata ubunge huo kwa sababu ya ubilionea wake au sababu anakubalika na wapiga kura wake?
 
Moshi wanavyowababaikia wenye pesa huyu Mosha akigombea ubunge atashinda.

Wacha kutukana watu wewe ccm,mbona mnajiasahau sana na kutukana watanzania namna hiyo? Au mmelewa madaraka sasa!
 
..ana ubiliönea gani huyo mlala hoi tu, au siyo huyu alikuwa Yanga?
 
..ana ubiliönea gani huyo mlala hoi tu, au siyo huyu alikuwa Yanga?

hela anayo ila Nina wasiwasi akibanwa na Tundu lisu kwa hoja bungeni yy hatasema, mheshimiwa spika kila nikitoa hoja watu wananiingilia mfano,like tundu lisu ananiingilia ,sasa nakuwa nafanyaje mheshimiwa spika,yeye atajiuzulu ubunge inabidi wapiga kura wajiandae kwa hilo,halafu EPA VP?
 
Back
Top Bottom