Hiyo sio lazima kusomea hata ukipewa training unafanya hakuna vitu vya technique know how katika hiyo field, na kazi yake unaweza iombea kwa course ingine za kitabibuHabari za Nazi wakuu poleni na majukumu
Niende kwenye mada moja kwa moja
Hivi kuna mtu anayejua kozi ya mortuary attendance inapotolewa hapa tz kwa level yoyote ile ?
Naona umechungulia Ni fursa nzuri kipindi ichi cha magonjwa ya upumuaji
Una bahati kuwa umeificha ID yako. Weka sura yako hapomshana jr aione akungojee utakapo letwa kwenye 18 zake kma hataziondoa sehemu nyeti auze.Hio sio kama kibarua yeyote ambaye fyuzi zimekatika kichwani anafanya ?
Kuna marupu rupu tofauti na mshahara, mengi tuUnadhani unalipwa kila ukiifadhi maiti au unalipwa mwisho wa mwezi?
Labda aseme kozi ya kutengeneza majeneza
Hospitali zenye vyuo karibu zote zinafundisha, ulizia iliyoko karibu nawe upate cheti chako uanze kazi maana ajira nje nje.Habari za Nazi wakuu poleni na majukumu,
Niende kwenye mada moja kwa moja
Hivi kuna mtu anayejua kozi ya Mortuary Attendance inapotolewa hapa Tanzania kwa level yoyote ile?
Kuna marupu rupu tofauti na mshahara, mengi tu