Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 303
- 1,158
Kama ulidhani Simba ni paka basi andika umeumia, Simba imefanikiwa kumbakisha Morrison ambaye alikuwa tayari amesainishwa mkataba Leo na yanga, kikao kilichofanyika usiku wa Leo na kumalizika usiku huu kikiongozwa na mamafia wa usajili Simba kiliamua kwa kauli moja Morrison aendelee kutumikia klabu, Morrison alieleza yake ya moyoni na uongozi ukaeleza yao na hatimaye wamekubali kuanza moja, wale waliomsainisha mkataba Morrison wameliwa mzigo wao.
Kwa kweli penye miti hakuna wajenzi, mafia wa Simba walikula timing baada ya kuona Yanga wamemwaga mpunga na kumpa kandarasi ya miaka 2 wakaona kwa vile bado mkataba wao na Morrison haujakwisha, wamekaa naye Leo usiku na kuyamaliza.
Morrison aliwaambia viongozi hao kuwa anaipenda sana Simba, alilazimika kurudi yanga kwa sababu hakuwa na jinsi lkn anaipenda Simba from the bottom of his heart na ndio maana aliomba mashabiki wampe jezi 100 azipeleke kwao akaage.
Simba walimwambia hawakutaka kumuaga kwa sababu bado wana mipango naye, poleni sana yanga, nyie endeleeni na Chico Ushindi tu, Morrison amekubali kubaki Simba.
Kwa kweli penye miti hakuna wajenzi, mafia wa Simba walikula timing baada ya kuona Yanga wamemwaga mpunga na kumpa kandarasi ya miaka 2 wakaona kwa vile bado mkataba wao na Morrison haujakwisha, wamekaa naye Leo usiku na kuyamaliza.
Morrison aliwaambia viongozi hao kuwa anaipenda sana Simba, alilazimika kurudi yanga kwa sababu hakuwa na jinsi lkn anaipenda Simba from the bottom of his heart na ndio maana aliomba mashabiki wampe jezi 100 azipeleke kwao akaage.
Simba walimwambia hawakutaka kumuaga kwa sababu bado wana mipango naye, poleni sana yanga, nyie endeleeni na Chico Ushindi tu, Morrison amekubali kubaki Simba.