Usipige Kula, piga Kura mkuuKama kichwa cha habari hapo juu,tulivyomaliza kusahihisha 2019 mwezi wa 6 tulilipwa laki moja tuka ambiwa tutamaliziwa laki 1 na elfu 80 mfumo ukifunguliwa,sasa walioenda kusahihisha mwaka huu wamelipwa pesa yote,walivyoulizia ya mwaka jana 2019 wakaambiwa wavute subira,sasa leo hii mimi niipigie kura CCM labda nitakuwa kichaa,serikali ipo tuu inaangalia,nilisha andika hapa jamii forums swala hili lakini halijafanyiwa kazi.Dhuruma ya malipo sio nzuri
Na mimi nitoe kwenye hiyo 97% aisee.Rais Magufuli anakubalika kwa Watanzania 97%
Wewe kura yako peleka kwa yule aliyetumwa na Wazungu,
Jamii forums kuna maafisa waliokupa kazi ya kusahihisha? Unaandika barua humu badala ya kwenda kwa Mkurugenzi umwambie akupe chako coz kazi imefanyika.Kama kichwa cha habari hapo juu,tulivyomaliza kusahihisha 2019 mwezi wa 6 tulilipwa laki moja tuka ambiwa tutamaliziwa laki 1 na elfu 80 mfumo ukifunguliwa,sasa walioenda kusahihisha mwaka huu wamelipwa pesa yote,walivyoulizia ya mwaka jana 2019 wakaambiwa wavute subira,sasa leo hii mimi niipigie kura CCM labda nitakuwa kichaa,serikali ipo tuu inaangalia,nilisha andika hapa jamii forums swala hili lakini halijafanyiwa kazi.Dhuruma ya malipo sio nzuri
Tulio dhurumiwa ni wengi mnoo na tuna machungu sana
Mwalimu umetoa boko.Kama kichwa cha habari hapo juu,tulivyomaliza kusahihisha 2019 mwezi wa 6 tulilipwa laki moja tuka ambiwa tutamaliziwa laki 1 na elfu 80 mfumo ukifunguliwa,sasa walioenda kusahihisha mwaka huu wamelipwa pesa yote,walivyoulizia ya mwaka jana 2019 wakaambiwa wavute subira,sasa leo hii mimi niipigie kura CCM labda nitakuwa kichaa,serikali ipo tuu inaangalia,nilisha andika hapa jamii forums swala hili lakini halijafanyiwa kazi.Dhuruma ya malipo sio nzuri
Rais Magufuli anakubalika kwa Watanzania 97%
Wewe kura yako peleka kwa yule aliyetumwa na Wazungu,
Unaonaje ukiwa mke wake wa pili naona mahaba yamezidi mpaka unarukwa na akiliRais Magufuli anakubalika kwa Watanzania 97%
Wewe kura yako peleka kwa yule aliyetumwa na Wazungu,
Ila hamuwezi kubadili lolote.Tulio dhurumiwa ni wengi mnoo na tuna machungu sana
Kama anakubalika hivyo anahangaika na kampeni za nini? Si atulie aone.
Tumia akili jombaa!!
Anaye husika aisome,tumesha kumbushia wee kimya, pengine viongozi waione, wewe hukuwepo kipindi nahenyeka kusahihisha kaa kimya kama huna cha kuchangia sawa?Jamii forums kuna maafisa waliokupa kazi ya kusahihisha? Unaandika barua humu badala ya kwenda kwa Mkurugenzi umwambie akupe chako coz kazi imefanyika.
Wana haki kukudhulumu. Hata kuandika kiufasaha hujui. Mwalimu gani wewe?Kama kichwa cha habari hapo juu,
Tulivyomaliza kusahihisha 2019 mwezi wa 6 tulilipwa laki moja tuka ambiwa tutamaliziwa laki 1 na elfu 80 mfumo ukifunguliwa, sasa walioenda kusahihisha mwaka huu wamelipwa pesa yote, walivyoulizia ya mwaka jana 2019 wakaambiwa wavute subira, sasa leo hii mimi niipigie kura CCM labda nitakuwa kichaa, serikali ipo tuu inaangalia, nilisha andika hapa Jamiiforums swala hili lakini halijafanyiwa kazi
Dhuruma ya malipo sio nzuri